Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,042
- 144,408
Angewataja hao vigogo na kupeleka malalamiko yake pahali husika, ila hizi ngonjera sasa zinachosha.
Kesi ya nyani iende kwa ngedere alafu utarajie nini hapo?
Angewataja hao vigogo na kupeleka malalamiko yake pahali husika, ila hizi ngonjera sasa zinachosha.
Walimuita tumbiri,this time watamuita sokwe!!
........kuhusu amepata wapi; hapo na mimi mgeni, ila ninachofahamu ni kwamba majina ya stabink yataendelea kufichwa, pengine mpaka pale wahusika itakapokuwa sio ishu hata wakijulikana, lini? ni suala la wakatiKwa hiyo huyo Tumbili aliyapata huko PCCB?
Huyu jamaa mbona hili suala kalifanya personal sana kuna nini nyuma yake..? Halafu mbona hayo majina ya hao vigogo hawayataji, wanaishia kusema kuna vigogo tu..???
Angewataja hao vigogo na kupeleka malalamiko yake pahali husika, ila hizi ngonjera sasa zinachosha.
Ni kweli huyu MuHa sasa anajitafutia balaa kwani hili suala la EscrowHivi mbna huyu tumbili anatusumbua?hakuna wa kujitolea mhanga?
unauliza makofi polis? Jk na genge lake wamepageuza magogoni sehemu ya kuficha wezi wa mali za umma!Haitoshi kusema Ikulu inahusika bali unapaswa kueleza inahusikaje
haa haa waambie wenzako waliokwapua za stanbic waongeze dau kwa maharamia!Hivi mbna huyu tumbili anatusumbua?hakuna wa kujitolea mhanga?
Siyo Muhongo tu, hata Werema, Maswi na mama Tibaijuka, nao wamegoma katakata kujuuzulu.Nilijua tu ikulu inahusika na uchafu huu, ndo maana muhongo amegoma kujiuzulu!
Tunayakumbuka sana sasa maneno ya hekima sana ya Mwalimu Nyerere, alipotanabaisha kuwa;unauliza makofi polis? Jk na genge lake wamepageuza magogoni sehemu ya kuficha wezi wa mali za umma!
Huyu Tumbili anahangaika sana. Hili suala lilishafika kwenye kamati ya PAC, iweje yeye asimame peke yake?