shungurui
JF-Expert Member
- Sep 1, 2008
- 3,765
- 5,154
Mnafikiri na nyie mtabaki salama, jidanganyeniSafi sana, na lingine kule Singida kwa Tundu Lisu na bila kusahau Kawe Halima Mdee nje pia!
Mnafikiri na nyie mtabaki salama, jidanganyeniSafi sana, na lingine kule Singida kwa Tundu Lisu na bila kusahau Kawe Halima Mdee nje pia!
Hao ni wanufaika wa 1.5 hivo kwao waamsha waliolala ni adui.Kwa sababu gani unataka zitto, Lissu na Mdee washindwe ubunge?
Alafu ndiyo mtarudisha 1.5 Trillion mliyoiba?Iwe kwa kawaida au mbinde lkn Zito Kabwe ni lazima ashindwe Ubunge Kigoma, napendekeza Kafulila amg'oe, ...
Labda viti maalum wanawake kma bulemboIwe kwa kawaida au mbinde lkn Zito Kabwe ni lazima ashindwe Ubunge Kigoma, napendekeza Kafulila amg'oe, ...
Kwahyo wewe zito ameshampa dingi yako maisha bora maana tayari ni mbungeAkishachukua kafulila baba ako kule kijijini kwenu atakua na maisha bora au?
Hoja nyepesi sanaOvyoo, mwanaume kama binti!
Alichokifanya Zitto kuhoji wapi magufuli alipozipeleka 1.5 trillion zilizopotea ni zaidi ya maisha bora. Hii itamsaidia baba yako kule kijijin kupata mgao wa mil. 50 ambazo waliahidiwa na Mh.Rais kama akirudisha hizo 1.5 Trillion.Kwahyo wewe zito ameshampa dingi yako maisha bora maana tayari ni mbunge