Kwani Pole pole ni mbunge? Mbona anafanya kazi yake vizuri ya roporopo? Kuna maisha nje ya ubunge acheni kukaririVyovyote lkn Zito Kabwe Polepole keshasema atafute kazi nyingine!
Kwa sababu gani unataka zitto, Lissu na Mdee washindwe ubunge?Safi sana, na lingine kule Singida kwa Tundu Lisu na bila kusahau Kawe Halima Mdee nje pia!
Wana CCM humu kama.wehu vile. Sasa nani anawazuia kuyachukua majimbo yote nchini? Fuyeni sheria ya vyama vingi turudi kwenye chama kimoja. Very simple. Sasa nyie mnataka kutumia njia ngumu na kuapa kwiingi. Hopeless kabisa.
Kumuondoa Zitto kwenye ubunge ni kukuhujumu Taifa letu. Rejea hoja ya Zitto dhidi ya aliyekuwa Waziri wa Madini, Karamagi. Ongeza na bomu la ubadhirifu wa 1.5 tr ambalo hadi sasa mmeshindwa kutoa majibu ya kuridhisha.Iwe kwa kawaida au mbinde lkn Zito Kabwe ni lazima ashindwe Ubunge Kigoma, napendekeza Kafulila amg'oe, ...
Polepole ndio mnamuabudu?Vyovyote lkn Zito Kabwe Polepole keshasema atafute kazi nyingine!
Ovyoo, mwanaume kama binti!Ndiyo ninavyotaka hivyo kwamba atafute kazi nyingine nje ya Ubunge!
kwani polepole ni mpiga kura wa kigoma?? mwambie atulize kijambio chake kama kinawashawashaVyovyote lkn Zito Kabwe Polepole keshasema atafute kazi nyingine!
zitapigwa kura za hasira huko endapo kafulila akinusisha pua pale ujijiKumuondoa Zitto kwenye ubunge ni kukuhujumu Taifa letu. Rejea hoja ya Zitto dhidi ya aliyekuwa Waziri wa Madini, Karamagi. Ongeza na bomu la ubadhirifu wa 1.5 tr ambalo hadi sasa mmeshindwa kutoa majibu ya kuridhisha.
Vv
Mimi siyo CCM!