Tatizo sio kuchukuliwa je atapata usajili wa necta form sixhkna ttzo mkuu.. private wnamchkua vzuuur kbisa
Anaweza akasoma advance,tena bila wasiwasi wowote ule,kama yupo tayari unaweza nichek through 0656415981,nitakusaidia.Ndugu wana jf kuna ndugu yetu amehitimu kidato cha nne mwaka Jana alipata DIV III 25 katika masomo tisa ana C Tatu ambazo hizina combination yaani KISWAHILI CHEMISTRY NA ENGLISH ana D tano na F moja ya PHYSICS anahitaji kwenda private ila anapenda asome CBG cdd au
EGM xdd naomba mwenye ufahamu juu ya usajili wa necta form six anijuze je atasajiliwa ili ajuae mapema
Soma hiyo attachment kwa umakini. Combi anayoweza kufanya bila maswali mengi ni HKL. CBG na EGM hapo zimegoma nionavyo mimi.Ndugu wana jf kuna ndugu yetu amehitimu kidato cha nne mwaka Jana alipata DIV III 25 katika masomo tisa ana C Tatu ambazo hizina combination yaani KISWAHILI CHEMISTRY NA ENGLISH ana D tano na F moja ya PHYSICS anahitaji kwenda private ila anapenda asome CBG cdd au
EGM xdd naomba mwenye ufahamu juu ya usajili wa necta form six anijuze je atasajiliwa ili ajuae mapema