Kafara za ngono

Naogopa kukwambia umeandika nonsense usije ukanipiga kipapai mkuu
😀😀😀😀😀 mkuu nilikuwa na mawazo kama yako kuwa Mshana kaandika nonsense ,ila namuheshimu. Hili kaandika kama vile naye ni mshiriki wa hili tukio
 
😀😀😀😀😀 mkuu nilikuwa na mawazo kama yako kuwa Mshana kaandika nonsense ,ila namuheshimu. Hili kaandika kama vile naye ni mshiriki wa hili tukio
Naogopa kukwambia umeandika nonsense usije ukanipiga kipapai mkuu
Baba mchungaji na mtumishi wa mungu, mtume na nabii amefanya kituko cha mwaka.. Maoni ni mengi malumbano ni mengi lakini uhalisia utabaki kuwa uhalisia
Kwenye video husika mtumishi anafanya ayafanyayo si kwa dhati ya moyo


As part n parcel of great thinkers platform.... Jarubuni kukosoa kwa hoja na kwa weledi
Just remember that nonsense is also a sense
 
Mshana hapa unatuacha njiani ina maana lusifer siku hizi anaendesha mambo kidigital? Ngumu kumeza
 
duh! hapa duniani kuna siri kubwa sana. watu wanaishi maisha yaliyojaa siri kupita kiasi. tusiwaone tu kwa juu juu tukataka kuwa kama wao kumbe wao nao wana mambo yao mengine pembeni wanayajua wao wenyewe tu.
 
Kuna vitu /mambo mengine ukiangalia tuu unaona sio ya kawaida.
Mtu kuwa maarufu kwa ghafla ilhali alikuwepo tangu utoto tunamuona.
Mtu anakuwa na pesa ndefuu ghafla
Anakuwa na ushawishi kwenye jamii ghaflaa
Kwa mfano huyu msanii na kundi lake me sielewi maana wasanii wengine washapotea wao wamebaki.
#Kuumbuka huwa ni lazima
 
Huna lolote unalojua mzee bora ukae kimya
Habar gan wanaTHREADS!!Mim ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 30 nina taaruma ya upish japo c ya kusomea ila ni mpish mzur wa vyakula vya kiswahil kama wali,pilau,birian na rost aina zote pamoja na bites zote kama maandaz,chapat,sambusa na vingine ving..Napatikana kwa namba 0620 896481,natanguliza shukran...nipo iringa ...


Hebu tuwasiliane nikusaidie kwenye hili la kwako la kutafuta kazi kwanza... Nina kijiwe poa sana natafuta mpishi ingia hapa unaweza kusaidika
 
Updates : Mzee baba kaongea na vyombo vya habari na kukanusha kuwa si yeye bali ni huyu kijana hapa wanayeshabihiana wajini kwa karibu mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…