Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,130
Kwenye Kongamano lilofanyika Leo Chuo kikuu Dar es salaam Kuhusu ushirikiswhaji wa AZIMIO LA ARUSHA KWENYE MCHAKATO WA KUUNDA KATIBA MPYA , Profesa Shiji alionekana kutilia maanani zaidi MIIKO ya uongozi kuliko MAADILI ya Uongozi.
Akisema kuwa Maadili hayapimiki wala kufudishika, Ila Miiko ya uongozi inapimika na inapotekelezwa kinachopatikana huwa ndio maadili!
Kwenye kuchangia Hoja Ibrahim Kaduma alionekana kutokubaliana na dhana ya Prof Shivji ..Akasisitiza kwa dhati kabisa kuwa Maadili yanafundishika..
Wanatofautina nini kimsingi?
Na Kipi kati ya MIIKO na MAADILI kinatufaa kwa sasa?
MY TAKE:
Nilimuelwa Profesa Shivji zaidi. Kwani MIIKO ni kitu clear and very objective.
Akisema kuwa Maadili hayapimiki wala kufudishika, Ila Miiko ya uongozi inapimika na inapotekelezwa kinachopatikana huwa ndio maadili!
Kwenye kuchangia Hoja Ibrahim Kaduma alionekana kutokubaliana na dhana ya Prof Shivji ..Akasisitiza kwa dhati kabisa kuwa Maadili yanafundishika..
Wanatofautina nini kimsingi?
Na Kipi kati ya MIIKO na MAADILI kinatufaa kwa sasa?
MY TAKE:
Nilimuelwa Profesa Shivji zaidi. Kwani MIIKO ni kitu clear and very objective.