Kadri umri wako unavyoenda ndivyo unakaribia kifo

BIG THINKER

JF-Expert Member
May 20, 2018
680
1,420
Hii ni nature, nashangaa mtu anajisifia anaumri wa Miaka 40, 50,60,70 ila hasemi kama amekaribia kufa.

Ni sawa mtu anaweza kufa katika umri wowote ila kadri umri unavyoenda ndivyo KIFO unakikaribia.

Baada ya kusema hayo ujue kama una Miaka 40 kama utakufa na Miaka 80 umebakiza 40... Jitafakari.

Kama una Miaka 50 na kama utaishi Miaka 80 umebakiza Miaka 30

Kama una Miaka 60 hivyo hivyo na sabini

Sasa basi baada ya kusema hayo

Unapotaja umri mkubwa ulionao sema pia nimekikaribia KIFO.
 
Asante kutukumbusha, wacha niwahi Swala ya Jioni maana Ukizeeka ni muda sahihi wa Kufanya Ibada mara kwa mara kujiandaa.


Miaka ya Zamani enzi za Manabii, ilikuwa unapewa taarifa kuwa zamu yako ni lini ya Kufa, ila kwasasa tunakumbushana kadri tunavyohudhuria mazishi ya wenzetu wanapofariki.
 
Hii ni nature, nashangaa mtu anajisifia anaumri wa Miaka 40, 50,60,70 ila hasemi kama amekaribia kufa.

Ni sawa mtu anaweza kufa katika umri wowote ila kadri umri unavyoenda ndivyo KIFO unakikaribia.

Baada ya kusema hayo ujue kama una Miaka 40 kama utakufa na Miaka 80 umebakiza 40... Jitafakari.

Kama una Miaka 50 na kama utaishi Miaka 80 umebakiza Miaka 30

Kama una Miaka 60 hivyo hivyo na sabini

Sasa basi baada ya kusema hayo

Unapotaja umri mkubwa ulionao sema pia nimekikaribia KIFO.
Kwani kuishi lazima?
 
Kama ningekuwa nina uhakika kwamba baada ya kifo hakuna kujitambua tena yaani kama vile hukuwepo basi nisingekuwa na haja ya kukiogopa kifo na pia ndo ingekuwa suluhisho la shida za dunia.

Tatizo wakristo tunaambiwa kuna maisha baada ya kifo na pia kuna michakato kadhaa itaendelea kutegemea na matendo yako ulivyokuwa hai. Ukirudi kuwasikiliza waislamu wao ndo wameenda deep sana kuelezea kuanzia pale roho inapotoka kwenda mbele.... yaani ni noma ukikuta sheikh anaelezea. Kwa vyovyote vile tukubali kwamba ipo siku itafika lazima tufe. HAKUNA NAMNA.
 
Hii ni nature, nashangaa mtu anajisifia anaumri wa Miaka 40, 50,60,70 ila hasemi kama amekaribia kufa.

Ni sawa mtu anaweza kufa katika umri wowote ila kadri umri unavyoenda ndivyo KIFO unakikaribia.

Baada ya kusema hayo ujue kama una Miaka 40 kama utakufa na Miaka 80 umebakiza 40... Jitafakari.

Kama una Miaka 50 na kama utaishi Miaka 80 umebakiza Miaka 30

Kama una Miaka 60 hivyo hivyo na sabini

Sasa basi baada ya kusema hayo

Unapotaja umri mkubwa ulionao sema pia nimekikaribia KIFO.
Nina 63 najua kila kitu unachofikiria na usichokijua
 
Hii ni nature, nashangaa mtu anajisifia anaumri wa Miaka 40, 50,60,70 ila hasemi kama amekaribia kufa.

Ni sawa mtu anaweza kufa katika umri wowote ila kadri umri unavyoenda ndivyo KIFO unakikaribia.

Baada ya kusema hayo ujue kama una Miaka 40 kama utakufa na Miaka 80 umebakiza 40... Jitafakari.

Kama una Miaka 50 na kama utaishi Miaka 80 umebakiza Miaka 30

Kama una Miaka 60 hivyo hivyo na sabini

Sasa basi baada ya kusema hayo

Unapotaja umri mkubwa ulionao sema pia nimekikaribia KIFO.
So what?
 
Kama ningekuwa nina uhakika kwamba baada ya kifo hakuna kujitambua tena yaani kama vile hukuwepo basi nisingekuwa na haja ya kukiogopa kifo na pia ndo ingekuwa suluhisho la shida za dunia.

Tatizo wakristo tunaambiwa kuna maisha baada ya kifo na pia kuna michakato kadhaa itaendelea kutegemea na matendo yako ulivyokuwa hai. Ukirudi kuwasikiliza waislamu wao ndo wameenda deep sana kuelezea kuanzia pale roho inapotoka kwenda mbele.... yaani ni noma ukikuta sheikh anaelezea. Kwa vyovyote vile tukubali kwamba ipo siku itafika lazima tufe. HAKUNA NAMNA.
Hakuna namna lazima tufe tu
 
Back
Top Bottom