ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 4,451
- 11,359
Natumai humu ni wazima wa afya, niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Vijana wenzangu unapo kuwa unafukuzia mwanamke punguza shobo na kujipendekeza kupita kiasi maana utajikuta unatumia nguvu kubwa na pesa nyingi kumpata au saa nyingine kumkosa kabisa.
Kama unamfukuzia mwanamke fulani alafu ukashindwa kubalance shobo haki ya mungu hakuna rangi utaacha kuiona kutoka kwake.
Na ndio maana watu wakimia ambao kwa mtazamo wako unaweza ukawaona kama maboya fulani na kuwaita madomo zege huwa hawatumii nguvu kubwa kupata wanawake ,maana wengi wao hawana muda wa kuendekeza shobo dhidi ya wanawake.
Sijui nini sababu ya hili lakini huo ndio ukweli na usipo ukubali utaendelea kuteseka na kitu kinacho itwa mapenzi.
Yangu ni hayo tu.
Vijana wenzangu unapo kuwa unafukuzia mwanamke punguza shobo na kujipendekeza kupita kiasi maana utajikuta unatumia nguvu kubwa na pesa nyingi kumpata au saa nyingine kumkosa kabisa.
Kama unamfukuzia mwanamke fulani alafu ukashindwa kubalance shobo haki ya mungu hakuna rangi utaacha kuiona kutoka kwake.
Na ndio maana watu wakimia ambao kwa mtazamo wako unaweza ukawaona kama maboya fulani na kuwaita madomo zege huwa hawatumii nguvu kubwa kupata wanawake ,maana wengi wao hawana muda wa kuendekeza shobo dhidi ya wanawake.
Sijui nini sababu ya hili lakini huo ndio ukweli na usipo ukubali utaendelea kuteseka na kitu kinacho itwa mapenzi.
Yangu ni hayo tu.