Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Kadi za CCM zimeliwa na moo tr 25 June 2011 UDOM.. mchakato huo ulikuwa chini ya TINDU LISU akiamuru vija lazima tuitambue nchi yetu tena vijana lazima tujue haki za msingi kama wasomi tena watetezi wazuri wa maisha yetu ya baadaye vile vile baadhi ya walifanya tendo la busara kurudisha kadi za CCM ndipo zikaachomwa moto