Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 16,043
- 7,477
Kwenye mavi lazima hawa wadudu utawaona tu!!Chadema mnateka mpaka watoto wadogo ambao hawana hatia.
Kwenye mavi lazima hawa wadudu utawaona tu!!Chadema mnateka mpaka watoto wadogo ambao hawana hatia.
Chadema mnateka mpaka watoto wadogo ambao hawana hatia.
hilo swali lingepaswa kuulizwa mwandishi wa habari wa jambo leo na ndio maana nimeweka source ya habari ni nani?
mwanamke, Fatma Msuya mkazi wa mwenge nzasa, dar anamtafuta mtoto wake, Daudi Mbura (2), baadaya kutekwa na kuchukuliwa katika eneo la mlimani city na kada wa CHADEMA Gwakisa Mwakasendo.
taarifa za kutekwa kwa mtoto huyo zimeshapelekwa katika kituo cha polisi mwenge toka juzi namba ya rb ni mwe/RB/2648/2012. kwa mujibu wa bi rehema bibi wa mtoto aliyetekwa kuwa bwana Gwakisa ni mtaalamu wa mambo ya upimaji wa teknolojia ya digitali (GPS), wa chadema ambaye ni mkazi wa makuburi mabibo. baada ya kumteka huyo mtoto alizima simu zake za mkononi.
fatma alikua na mahusiano ya kimapenzi na Gwakisa na mwaka 2010 na kumi alipata mimba lakini mwanaume huyo alimtelekeza hadi hapo hapo juzi alipotaka kumchukua mtoto huyo.
kwa upande wake fatma alisema kuwa gari lilomteka lilikuwa na watu wanne mmoja wao ni mwanamke na baada ya tukio hilo mmoja aliacha na gari hilo na alipokuwa akiwasiliana na wenzake alishtukiwa na watu na kuanza kumshambulia kwa kipigo. kufika kwa fatma maeneo ya mlimani city kuitikia mwito wa bw.
gwakisa baada ya kumpigia simu kuwa wakutane neo hilo kwani anataka kumnunulia mtoto zawadi na ndipo bint huyo kufika eneo na kumkuta na zawadi ya baiskeli kubwa ambayo haiwezi kumfaa huyo mtoto. wakati fatma akishangaa hiyo baiskeli ndipo baba huyo alipomchukua mtoto na kukimbia kwenye gari na kuondoka nae.
source: jambo leo
Chadema mnateka mpaka watoto wadogo ambao hawana hatia.
Loo!! upele umemkuta mwenye makucha!!Chadema mnateka mpaka watoto wadogo ambao hawana hatia.
Chadema mnateka mpaka watoto wadogo ambao hawana hatia.
Chadema mnateka mpaka watoto wadogo ambao hawana hatia.
Source:Habari Leo.
mwanamke, Fatma Msuya mkazi wa mwenge nzasa, dar anamtafuta mtoto wake, Daudi Mbura (2), baadaya kutekwa na kuchukuliwa katika eneo la mlimani city na kada wa CHADEMA Gwakisa Mwakasendo.
taarifa za kutekwa kwa mtoto huyo zimeshapelekwa katika kituo cha polisi mwenge toka juzi namba ya rb ni mwe/RB/2648/2012. kwa mujibu wa bi rehema bibi wa mtoto aliyetekwa kuwa bwana Gwakisa ni mtaalamu wa mambo ya upimaji wa teknolojia ya digitali (GPS), wa chadema ambaye ni mkazi wa makuburi mabibo. baada ya kumteka huyo mtoto alizima simu zake za mkononi.
fatma alikua na mahusiano ya kimapenzi na Gwakisa na mwaka 2010 na kumi alipata mimba lakini mwanaume huyo alimtelekeza hadi hapo hapo juzi alipotaka kumchukua mtoto huyo.
kwa upande wake fatma alisema kuwa gari lilomteka lilikuwa na watu wanne mmoja wao ni mwanamke na baada ya tukio hilo mmoja aliacha na gari hilo na alipokuwa akiwasiliana na wenzake alishtukiwa na watu na kuanza kumshambulia kwa kipigo. kufika kwa fatma maeneo ya mlimani city kuitikia mwito wa bw.
gwakisa baada ya kumpigia simu kuwa wakutane neo hilo kwani anataka kumnunulia mtoto zawadi na ndipo bint huyo kufika eneo na kumkuta na zawadi ya baiskeli kubwa ambayo haiwezi kumfaa huyo mtoto. wakati fatma akishangaa hiyo baiskeli ndipo baba huyo alipomchukua mtoto na kukimbia kwenye gari na kuondoka nae.
source: jambo leo
mwanamke, Fatma Msuya mkazi wa mwenge nzasa, dar anamtafuta mtoto wake, Daudi Mbura (2), baadaya kutekwa na kuchukuliwa katika eneo la mlimani city na kada wa CHADEMA Gwakisa Mwakasendo.
taarifa za kutekwa kwa mtoto huyo zimeshapelekwa katika kituo cha polisi mwenge toka juzi namba ya rb ni mwe/RB/2648/2012. kwa mujibu wa bi rehema bibi wa mtoto aliyetekwa kuwa bwana Gwakisa ni mtaalamu wa mambo ya upimaji wa teknolojia ya digitali (GPS), wa chadema ambaye ni mkazi wa makuburi mabibo. baada ya kumteka huyo mtoto alizima simu zake za mkononi.
fatma alikua na mahusiano ya kimapenzi na Gwakisa na mwaka 2010 na kumi alipata mimba lakini mwanaume huyo alimtelekeza hadi hapo hapo juzi alipotaka kumchukua mtoto huyo.
kwa upande wake fatma alisema kuwa gari lilomteka lilikuwa na watu wanne mmoja wao ni mwanamke na baada ya tukio hilo mmoja aliacha na gari hilo na alipokuwa akiwasiliana na wenzake alishtukiwa na watu na kuanza kumshambulia kwa kipigo. kufika kwa fatma maeneo ya mlimani city kuitikia mwito wa bw.
gwakisa baada ya kumpigia simu kuwa wakutane neo hilo kwani anataka kumnunulia mtoto zawadi na ndipo bint huyo kufika eneo na kumkuta na zawadi ya baiskeli kubwa ambayo haiwezi kumfaa huyo mtoto. wakati fatma akishangaa hiyo baiskeli ndipo baba huyo alipomchukua mtoto na kukimbia kwenye gari na kuondoka nae.
source: jambo leo
Chadema mnateka mpaka watoto wadogo ambao hawana hatia.