Msemaji wa Familia
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 875
- 835
Chimbuko la haya yote ni udhaifu na ulafi wa viongozi , wasiokuwa wazalendo waliotanguliza kufikia ego and self esteem zao na wala siyo maslahi ya nchi .Hii nchi watu hatari sana hawafai kuishi kabisa ni Huyu Rostam na Kikwete ikiwa na Makonda hawa kama kunamtu anaye uchawi aniambie tuwamalize
Je, vipi kuhusu madili ya kuinyonya Tanganyika?Huyu mtu ni muongo sijapata kuona rostam aziz,igunga ni kwao,ana nyumba za ukoo na ana duka na mara nyingi alikuwa anakuja igunga,tena sio mara moja,tatizo ni watu kutomjua rostam
Ok toa ushahidi anainyonyaje ili nikueleweJe, vipi kuhusu madili ya kuinyonya Tanganyika?
View attachment 3431078
====
Alichokizungumza ni kuwa hoja za Rostam Aziz ni dhaifu kwenye kumjibu Humphrey Polepole. Amesema hayuko upande wa Polepole lakini hoja za Rostam Aziz si sahihi hivyo ametoa wito kwa CCM kutumia wasomi wa kumjibu Polepole
Pia Soma >> GE2025 - Polepole ni mwana CCM wa itifaki na maslahi - Rostam Aziz
Unataka ushahidi, nakupa kafuatilie skendo ya Richmond iliyozaa downs au Kagoda na EPAOk toa ushahidi anainyonyaje ili nikuelewe
Hiyo skendo naijua lakini hapakuwa na ushahidi wowote wa kumtia hatiani rostam bro,tume inapochunguza kitu ikimaliza uchunguzi wake,kama kuna jinai badi shauri hupelekwa mahakani,ambapo ndio chombo pekee kinachoweza kumtia mtu hatianiUnataka ushahidi, nakupa kafuatilie skendo ya Richmond iliyozaa downs au Kagoda na EPA
Kuna sehemu alipinga au kukanusha au kum sue Mengi siku anatajwa kama fisadi papaa na tajiri Mengi?Hiyo skendo naijua lakini hapakuwa na ushahidi wowote wa kumtia hatiani rostam bro,tume inapochunguza kitu ikimaliza uchunguzi wake,kama kuna jinai badi shauri hupelekwa mahakani,ambapo ndio chombo pekee kinachoweza kumtia mtu hatiani
kwani hukuona rostam pia alimtuhumu marehemu mengi kuhusu ufisadi wake? uliona mengi anakanusha?Hizi porojo za wafanyabiasharaambao hugombania maslahi,usizitegemee kabisa kwani hiyo ni vita yao wao binafsiKuna sehemu alipinga au kukanusha au kum sue Mengi siku anatajwa kama fisadi papaa na tajiri Mengi?
Usipo mkubali rais wa taifa lako utaishi Kwa huzuni Kila cku
Mengi sio tajir ni mwendazakeKuna sehemu alipinga au kukanusha au kum sue Mengi siku anatajwa kama fisadi papaa na tajiri Mengi?
Sawa mwendazakeMengi sio tajir ni mwendazake
Alikua na akili sana huyu jamaa.
View attachment 3431078
====
Alichokizungumza ni kuwa hoja za Rostam Aziz ni dhaifu kwenye kumjibu Humphrey Polepole. Amesema hayuko upande wa Polepole lakini hoja za Rostam Aziz si sahihi hivyo ametoa wito kwa CCM kutumia wasomi wa kumjibu Polepole
Pia Soma >> GE2025 - Polepole ni mwana CCM wa itifaki na
Ileje sasa nimeanza kumuelewa, yeye ni CCM independent thinker,remain blessed always====
Alichokizungumza ni kuwa hoja za Rostam Aziz ni dhaifu kwenye kumjibu Humphrey Polepole. Amesema hayuko upande wa Polepole lakini hoja za Rostam Aziz si sahihi hivyo ametoa wito kwa CCM kutumia wasomi wa kumjibu Polepole
Pia Soma >> GE2025 - Polepole ni mwana CCM wa itifaki na maslahi - Rostam Aziz
Sipo pamoja na Pole pole lakini ajibiwe kwa Hoja",sio hoja tuu Bali hoja yenye mashiko!"Sipo pamoja na Polepole lakini ajibiwe kwa hoja"