Mr. Bigman
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 2,560
- 1,299
Teh teh m4c- movement for christians
( NECTA- machinjio ya waislam)
Can't get me out of the race. Think U're ....... up there
Teh teh m4c- movement for christians
( NECTA- machinjio ya waislam)
mijitu kama hii kuendelea ni ngumu sana .we baki na udini sisi tuna songa mbele.Teh teh m4c- movement for christians
( NECTA- machinjio ya waislam)
Teh teh m4c- movement for christians
( NECTA- machinjio ya waislam)
Hapo mmelamaba galasa, huyu si lolote ndani ya CCM alikuwa mzigo
Kada machachari wa CCM jimbo la Newala Mtwara Adam Lawi Sijaona amekihama chama hicho na kujiunga na chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM.Kada huyo aliyekuwa msaada mkubwa kwa CCM jimboni humo na kipenzi cha wana-Newala amesema CCM sasa imepoteza mwelekeo na kuwataka wakazi wote wa jimbo hilo kumfuata ndani ya CDM.
Kada huyo ni mtoto wa mpigania uhuru wa Tanzania na muasisi wa TANU na CCM.Akihutubia umati mkubwa wa watu kada huyo aliishukuru CDM kwa kupeleka M4C kusini na kusema tangu uchaguzi mwaka juzi si mbunge wala diwani aliyeita wananchi walau hata kushukuru kwa kura walizopata.Kada huyo alikabidhiwa kadi na Katibu Mkuu wa CDM Dr Wilbroad Slaa .
haya mkuu tunashukru kwa taarifa na tunamkaribisha sana kwenye kundi
Amefanya maamuzi bora kabisa, we unasubiri nini Hamia CDM.[/QU mim naogopa sijawah kuwa mwanchama wa chama pinzan nahgoja uchaguzi mwaka 2015 cdm ikishinda ntahamia ikishindwa naki humuhumu.
Ovyo kabisa, yaani mnafurahi kupata mtu ambaye ameshindwa kuendana na kasi ya chama bora Tz? Nyie wana chadema mna matatizo gani. Nahisi hata kama ikitokea siku mkaambiwa Jk amejiunga na chama chenu mtamkaribisha ili hali sasa mnamponda.
The unseen is illustrated by the seen.
Mmmm......
Waislamu tupeleke watoto shuleeee........
mkuu sijakuelewa
mbona unasema chadema wamempokea mtu aliyeshindwa kuendana na kasi ya chama bora Tanzania, halafu unamtaja uliyemtaja eti naye akijiunga na chadema watafurahia kwani ni nani aliyekuambia ameshindwa kwenda na kasi ya hicho chama? uliimanisha nini?