Kada Mashuhuri wa CCM Newala ajiunga CHADEMA

Kada Mashuhuri wa CCM Newala ajiunga CHADEMA

CCM nasikia wamewaambia kule kwenye Misikiti walikokuwa wanagawa sanda wasizitumie kwani wanahisi kifo chao kimekaribia kwani viongozi wengi wa ccm watazitumia kuzikiwa!!
 
Ni kweli mkuu hayo majimbo CDM itashinda kwa kishindo kikubwa kwani matawi yamezinduliwa kila kona ya mitaa yao
Ukombozi kamili unakuja 2015. Tuendelee na kasi hii hii.
 
wabunge wa kusini wametishika na vuguvugu la mabadiliko hari iliyowapelekea kukatisha shughuli zao na kwenda kufuta nyayo za M4C..source mwanainchi la leo
 
wabunge wa kusini wametishika na vuguvugu la mabadiliko hari iliyowapelekea kukatisha shughuli zao na kwenda kufuta nyayo za M4C..source mwanainchi la leo
Watahangaika sana kwani moto wa M4C hauzuiliki na wala hauzimiki forever!
 
wabunge wa kusini wametishika na vuguvugu la mabadiliko hari iliyowapelekea kukatisha shughuli zao na kwenda kufuta nyayo za M4C..source mwanainchi la leo

Mkuu kwa lipi watafanya ili wananchi wawaamini tena?
 
Ovyo kabisa, yaani mnafurahi kupata mtu ambaye ameshindwa kuendana na kasi ya chama bora Tz? Nyie wana chadema mna matatizo gani. Nahisi hata kama ikitokea siku mkaambiwa Jk amejiunga na chama chenu mtamkaribisha ili hali sasa mnamponda.
The unseen is illustrated by the seen.

Naona kama mifano yako hata haiendani, kwani huyo naye alikuwa anapondwa na CDM?
 
Tope.......n
Ovyo kabisa, yaani mnafurahi kupata mtu ambaye ameshindwa kuendana na kasi ya chama bora Tz? Nyie wana chadema mna matatizo gani. Nahisi hata kama ikitokea siku mkaambiwa Jk amejiunga na chama chenu mtamkaribisha ili hali sasa mnamponda.
The unseen is illustrated by the seen.
 
Kada machachari wa CCM jimbo la Newala Mtwara Adam Lawi Sijaona amekihama chama hicho na kujiunga na chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM.Kada huyo aliyekuwa msaada mkubwa kwa CCM jimboni humo na kipenzi cha wana-Newala amesema CCM sasa imepoteza mwelekeo na kuwataka wakazi wote wa jimbo hilo kumfuata ndani ya CDM.
Kada huyo ni mtoto wa mpigania uhuru wa Tanzania na muasisi wa TANU na CCM.Akihutubia umati mkubwa wa watu kada huyo aliishukuru CDM kwa kupeleka M4C kusini na kusema tangu uchaguzi mwaka juzi si mbunge wala diwani aliyeita wananchi walau hata kushukuru kwa kura walizopata.Kada huyo alikabidhiwa kadi na Katibu Mkuu wa CDM Dr Wilbroad Slaa huku umati wa watu ukilipuka kwa shangwe.

Source:Tanzania Daima

Huyo jamaa namkumbuka wakati wakati wa uchaguzi wa 2010 alitakiwa agombee ubunge kwa tiketi ya chadema huko newala akakataa



BarakaBoki (MEng,MBA from Duke University)
 
Kama sikosei NAPE alinukuliwa akiwafananisha hawa wanaoondoka CCM kwa sasa na oil chafu. Tatizo ni kuwa oil chafu ikiondoka lazima iwekwe oil mpya kwenye injini ili isije ikaungua. Sioni CCM ikifanya juhudi zozote kuingiza oil mpya kwenye injini yao ili kuchukua nafasi ya hii chafu inayomwagika.
 
Filikunjombe karibu kabla milango haijafungwa!!
 
makada kama hawa wanatakiwa wapewe jukumu maalamu kuendeleza moto wa mabadiliko eneo la kusini hasa baada ya viongozi wakuu wa cdm kuondoka mc4 isife iendelee kuwa hai hadi 2015 ccm itakapozikwa rasmi!!
 
Kama sikosei NAPE alinukuliwa akiwafananisha hawa wanaoondoka CCM kwa sasa na oil chafu. Tatizo ni kuwa oil chafu ikiondoka lazima iwekwe oil mpya kwenye injini ili isije ikaungua. Sioni CCM ikifanya juhudi zozote kuingiza oil mpya kwenye injini yao ili kuchukua nafasi ya hii chafu inayomwagika.

Na jana amewapa jina lingine eti ni Vinyago
 
Nao (Chadema) wakamshinda (CCM) kwa damu ya Mwana-Kondoo,na kwa neno la ushuhuda wao;ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.Kwa hiyo shangalieni enyi mbingu,nanyi mkaao hum😵le wa nchi na bahari! kwa maana yule Ibilisi (CCM) ameshuka kwenu mwenye ghadhabu nyingi,AKIJUA YA KUWA ANA WAKATI MCHAHCE TU.
 
Back
Top Bottom