Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 283
he is DUDE... nothing at oll...
Tunawakaribisha na wengine. Nape vipi, fanya maamuzi fasta.
Hiyo ni kanda ya kasikazini!
Ukombozi kamili unakuja 2015. Tuendelee na kasi hii hii.Ni kweli mkuu hayo majimbo CDM itashinda kwa kishindo kikubwa kwani matawi yamezinduliwa kila kona ya mitaa yao
Watahangaika sana kwani moto wa M4C hauzuiliki na wala hauzimiki forever!wabunge wa kusini wametishika na vuguvugu la mabadiliko hari iliyowapelekea kukatisha shughuli zao na kwenda kufuta nyayo za M4C..source mwanainchi la leo
wabunge wa kusini wametishika na vuguvugu la mabadiliko hari iliyowapelekea kukatisha shughuli zao na kwenda kufuta nyayo za M4C..source mwanainchi la leo
Watahangaika sana kwani moto wa M4C hauzuiliki na wala hauzimiki forever!
Ovyo kabisa, yaani mnafurahi kupata mtu ambaye ameshindwa kuendana na kasi ya chama bora Tz? Nyie wana chadema mna matatizo gani. Nahisi hata kama ikitokea siku mkaambiwa Jk amejiunga na chama chenu mtamkaribisha ili hali sasa mnamponda.
The unseen is illustrated by the seen.
Ovyo kabisa, yaani mnafurahi kupata mtu ambaye ameshindwa kuendana na kasi ya chama bora Tz? Nyie wana chadema mna matatizo gani. Nahisi hata kama ikitokea siku mkaambiwa Jk amejiunga na chama chenu mtamkaribisha ili hali sasa mnamponda.
The unseen is illustrated by the seen.
Kada machachari wa CCM jimbo la Newala Mtwara Adam Lawi Sijaona amekihama chama hicho na kujiunga na chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM.Kada huyo aliyekuwa msaada mkubwa kwa CCM jimboni humo na kipenzi cha wana-Newala amesema CCM sasa imepoteza mwelekeo na kuwataka wakazi wote wa jimbo hilo kumfuata ndani ya CDM.
Kada huyo ni mtoto wa mpigania uhuru wa Tanzania na muasisi wa TANU na CCM.Akihutubia umati mkubwa wa watu kada huyo aliishukuru CDM kwa kupeleka M4C kusini na kusema tangu uchaguzi mwaka juzi si mbunge wala diwani aliyeita wananchi walau hata kushukuru kwa kura walizopata.Kada huyo alikabidhiwa kadi na Katibu Mkuu wa CDM Dr Wilbroad Slaa huku umati wa watu ukilipuka kwa shangwe.
Source:Tanzania Daima
Nasikia Mkuchika alichanganyikiwa mpaka akaenda kutoa sanda msikitini
Kama sikosei NAPE alinukuliwa akiwafananisha hawa wanaoondoka CCM kwa sasa na oil chafu. Tatizo ni kuwa oil chafu ikiondoka lazima iwekwe oil mpya kwenye injini ili isije ikaungua. Sioni CCM ikifanya juhudi zozote kuingiza oil mpya kwenye injini yao ili kuchukua nafasi ya hii chafu inayomwagika.