Kachai katamu

Kachai katamu

CHAI BORA ASUBUHI NA BAADA YA CHAKULA CHA JIONI.
1) KITUNGUU 2)TANGAWIZI 3) KITUNGUU SAUMU 4) TIMERIC🌹
1743740114465.jpg
 
Matayatisho

Iliki ,tangawizi ya kusaga ,majani ya chai , maziwa na maji na sukati

Jinsi ya kuitengeneza

Ni rahisi sana ufundi ni kidogo
Chemsha maji yachemke kabisa kama robo lita hivi ongeza vikombe viliwi vya maziwa kisha iliki 5 au 6 ,ongeza tangawizi kijiko kidogo majani kiasi na sukari.

Chemsha kwa dakika 5 tena ipua chuja weka kwenye thermos.

Tafuta mahali penye upepo tulivu Enjoy kachai kako katamu
Hapa upate na kitu kama hiki sasa😋
 

Attachments

  • IMG-20250828-WA0013.jpg
    IMG-20250828-WA0013.jpg
    86.1 KB · Views: 8
Hapo kwenye majani ya chai mimi niliacha zamani sana natumia manyasi haya yaitwayo mchaichai.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom