MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,202
- 1,229
Walipolifukua eneo lote lilikuwa na harufu kali wakashindwa kuendelea..........walipolifukia harufu ikatoweka...................!!!!!!!!!!!!!!lilishindikana kuhamishwa kivip mkuu?em funguka hapo kwa sisi tusio kuwa na uelewa kuhusu hilo tukajifunza kutoka kwako.