Kabudi ni wakati wa kunyamaza; karma ikikunyamazisha familia yako itafedheheka sana

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,734
6,292
Kabudi Ni kati ya waasisi wa Kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC na ndio wadau wa kwanza wa kudai mabadiliko ya katiba miaka 25 iliyopita since 1995 kilipo anzishwa na kuwa mjumbe wa bodi mpaka alivyoteuliwa kuwa mbunge. Ni muandishi wa machapisho mengi kuhusu katiba pia.

Hiki ni kipimo cha Prof wa Tanzania. Prof. Kabudi. Mtu anayesaliti taaluma yake kwa madaraka na njaa. Prof. ni mtafiti anayeamini kuhusu matokeo ya utafiti. Sasa yeye alifanya utafiti kwa kukusanya maoni ya Wtz na kuhusika kuyaweka katika rasimu ya Katiba. Leo anayapinga/saliti.

Hawa wanaharakati wa katiba mpya, wengine wao ni zao la Kabudi na amewapika yeye mwenyewe. Kusaliti movement yako na kuanza kufanya "Spinning" kwa Apprentices wako ni laana tu. Historia itakuandika hatujui how. Lakini nakuasa ni heri unyamaze na itakuandika kama Kawawa
Viongozi wetu wa kisiasa wote wa Tawala na wa upinzani mjifunze kuogopa Karma, Ikipita na wewe watakaofedheheka ni familia yako na kizazi chako kwani tunawajua watanzania kuwa hawasahau na tumeshajionea wenyewe fedheha wanazopata wengineo. It is KARMA

Palamagamba Kabudi; msomi, mwalimu, mshiriki harakati za kutafuta katiba mpya (UDSM ukumbi wa Nkurumah), mjumbe wa tume ya katiba, akawa waziri wa katiba na sheria, Anatia kinyaa kusema katiba hii ni madhubuti.

Pichani akiwa porini kutafuta maoni ya wananchi na tume ya WARIOBA.

E5XlijVXIAUyP7G.jpg


 
Usimpangie mtu maisha kila kunapokucha kuna kitu unaelewa kuliko jana, hivyo inawezekana wakati anapinga alikuwa hajaelimishwa.

Pia kubadili mawazo ni sehemu ya binadamu mwenye akili sawa.
Kama wewe za kwako zinakupeleka bila kukurudisha nyuma basi ni tatizo.

Maana utakachoamua hata kama umekosea na ukajua lakini unashupaza shingo tu basi ni tatizo.
 
Kabudi, Shivj, Mkumbo na Mwakiembe hawakufaa kuwa wataaluma.
Usimsahau Mwakyembe ambaye aliikana hata Thesis ya PhD yake Kwamba suluhisho la matatizo ya muungano ni serikali tatu. Akaruka kimanga na akasema mfumo uliopo ndiyo sahihi. Nina mashaka na ubora wa elimu inayotolewa kwa vijana wetu hapo UDSM kama walimu wenyewe ni hao.
 
Baada ya uteuzi?. Ni heri anyamaze na hakupingwa kubadilika
Usimpangie mtu maisha kila.kunapokuvha kuna kitu unaelewa kuliko jana, hivyo inawezekana wakati anapinga alikuwa hajaelimishwa.
Pia kubadili mawazo ni sehemu ya binadamu mwenye akili sawa.
Kwama wewe.za kwako.zinakupeleka bila kukurudisha nyuma basi ni tatizo.
Maana utakachoamua hata kama umekosea na ukajua lakini unashupaza shingo tu basi i tatizo.
 
Ndugu ,unatakiwa uelewe kuwa kile ambacho unakiamini si kila MTU atakiamini. Tunakuwa na utofauti wa maono na hoja. Lakini si kila hoja yako ni sahihi kabisa. Kiasi kwamba tuamini na tukubali unachoongea. Nafikiri CDM mnapotosha sana UMMA.Kama mngekuwa sahihi ,na katiba yenu ingekuwa sahihi ,wengi tungewaunga mkono. Lakini katiba yenu ni mbovu na mnadai katiba ya nchi. Haiwezrkani mkawa na chama ambacho ni cha familia. Halafu mnadai katiba ya nchi.
 
Ndugu ,unatakiwa uelewe kuwa kile ambacho unakiamini si kila MTU atakiamini.Tunakuwa na utofauti wa maono na hoja.Lakini si kila hoja yako ni sahihi kabisa.Kiasi kwamba tuamini na tukubali unachoongea.Nafikiri CDM mnapotosha sana UMMA.Kama mngekuwa sahihi ,na katiba yenu ingekuwa sahihi ,wengi tungewaunga mkono.Lakini katiba yenu ni mbovu na mnadai katiba ya nchi.Haiwezrkani mkawa na chama ambacho ni cha familia.Halafu mnadai katiba ya nchi.
IQ ndogo, hujui maana ya Forum.

Tukimsifia Mama mnatuita wasaliti
Tukimsifu Jiwe mnatuita Mataga
Tukimkosoa Mama mnatuita CDM au Mataga
Tukiwakosoa CDM mnatuita Mataga
Tukimkosoa jiwe mnatuita Wasaliti

Majina yote haya anapewaje mtu mmoja?..

Mnajielewa kweli Nyinyi, ndo maana hamjui dhana ya Uhuru wa Maoni
 
IQ ndogo, hujui maana ya Forum.

Tukimsifia Mama mnatuita wasaliti
Tukimsifu Jiwe mnatuita Mataga
Tukimkosoa Mama mnatuita CDM au Mataga
Tukiwakosoa CDM mnatuita Mataga
Tukimkosoa jiwe mnatuita Wasaliti

Majina yote haya anapewaje mtu mmoja?..

Mnajielewa kweli Nyinyi, ndo maana hamjui dhana ya Uhuru wa Maoni
POLE NDUGU YANGU
 
Ndugu ,unatakiwa uelewe kuwa kile ambacho unakiamini si kila MTU atakiamini.Tunakuwa na utofauti wa maono na hoja.Lakini si kila hoja yako ni sahihi kabisa.Kiasi kwamba tuamini na tukubali unachoongea.Nafikiri CDM mnapotosha sana UMMA.Kama mngekuwa sahihi ,na katiba yenu ingekuwa sahihi ,wengi tungewaunga mkono.Lakini katiba yenu ni mbovu na mnadai katiba ya nchi.Haiwezrkani mkawa na chama ambacho ni cha familia.Halafu mnadai katiba ya nchi.
Huna jipya wewe.wale wale tu wa kuokoteza maneno yasiyokua na maana baada yakukosa hoja.
 
Kabudi Ni kati ya waasisi wa Kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC na ndo wadau wa kwanza wa kudai mabadiliko ya katiba miaka 25 iliyopita since 1995 kilipo anzishwa na kuwa mjumbe wa bodi mpaka alivyoteuliwa kuwa mbunge. Ni muandishi wa machaposh mengi kuhusu katiba pia.

Hiki ni kipimo cha Prof wa Tanzania. Prof. Kabuki. Mtu anayesaliti taaluma yake kwa madaraka na njaa. Prof. ni mtafiti anayeamini kuhusu matokeo ya utafiti. Sasa yeye alifanya utafiti kwa kukusanya maoni ya Wtz na kuhusika kuyaweka katika rasimu ya Katiba. Leo anayapinga/saliti.

Hawa wanaharakati wa katiba mpya, wengine wao ni zao la Kabudi na amewapika yeye mwenyewe. Kusaliti movement yako na kuanza kufanya "Spinning" kwa Apprentices wako ni laana tu. Historia itakuandika hatujui how.Lakin nakuasa ni heri unyamaze na itakuandika kama Kawawa . Viongozi wetu wa kisiasa wote wa Tawala na wa upinzani mjifunze kuogopa Karma, Ikipita na wewe watakaofedheheka ni familia yako na kizazi chako kwani tunawajua watanzania kuwa hawasahau na tumeshajionea wenyewe fedheha wanazopata wengineo. It is KARMA

Palamagamba Kabudi; msomi, mwalimu, mshiriki harakati za kutafuta katiba mpya (UDSM ukumbi wa Nkurumah), mjumbe wa tume ya katiba, akawa waziri wa katiba na sheria, Anatia kinyaa kusema katiba hii ni madhubuti.

Pichani akiwa porini kutafuta maoni ya wananchi na tume ya WARIOBA.


Msamehe ametoka jalalani. Pale Udsm pesa aliyokuwa analipwa hata nyumba asingejenga
 
Palamagamba Kabudi; msomi, mwalimu, mshiriki harakati za kutafuta katiba mpya (UDSM ukumbi wa Nkurumah), mjumbe wa tume ya katiba, akawa waziri wa katiba na sheria, Anatia kinyaa kusema katiba hii ni madhubuti.
Sijui kama ataelewa uzito wa maneno haya huyu mtu aliye dhalilisha chuo kikuu kilichompa ugali kwa miongo kadhaa kwa kukiita jalala baada ya kuteliwa kuwa waziri.

Elimu ya Tanzania haina uwezo wa kumpa mtu ujasiri wa kuyasimamia maisha na misimamo yake. Inatengeneza mazezeta wa fikra na uwezo wa kupambana na changamoto. Kabudi ni mfano mzuri.
 
Kabudi Ni kati ya waasisi wa Kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC na ndo wadau wa kwanza wa kudai mabadiliko ya katiba miaka 25 iliyopita since 1995 kilipo anzishwa na kuwa mjumbe wa bodi mpaka alivyoteuliwa kuwa mbunge. Ni muandishi wa machaposh mengi kuhusu katiba pia.

Hiki ni kipimo cha Prof wa Tanzania. Prof. Kabuki. Mtu anayesaliti taaluma yake kwa madaraka na njaa. Prof. ni mtafiti anayeamini kuhusu matokeo ya utafiti. Sasa yeye alifanya utafiti kwa kukusanya maoni ya Wtz na kuhusika kuyaweka katika rasimu ya Katiba. Leo anayapinga/saliti.

Hawa wanaharakati wa katiba mpya, wengine wao ni zao la Kabudi na amewapika yeye mwenyewe. Kusaliti movement yako na kuanza kufanya "Spinning" kwa Apprentices wako ni laana tu. Historia itakuandika hatujui how.Lakin nakuasa ni heri unyamaze na itakuandika kama Kawawa . Viongozi wetu wa kisiasa wote wa Tawala na wa upinzani mjifunze kuogopa Karma, Ikipita na wewe watakaofedheheka ni familia yako na kizazi chako kwani tunawajua watanzania kuwa hawasahau na tumeshajionea wenyewe fedheha wanazopata wengineo. It is KARMA

Palamagamba Kabudi; msomi, mwalimu, mshiriki harakati za kutafuta katiba mpya (UDSM ukumbi wa Nkurumah), mjumbe wa tume ya katiba, akawa waziri wa katiba na sheria, Anatia kinyaa kusema katiba hii ni madhubuti.

Pichani akiwa porini kutafuta maoni ya wananchi na tume ya WARIOBA.


wanafki kama hawa YESU aliwaita "Mafarisayo na Masadukayo" huyu PRO-PESA ni SADUKAYO
 
Kabudi Ni kati ya waasisi wa Kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC na ndo wadau wa kwanza wa kudai mabadiliko ya katiba miaka 25 iliyopita since 1995 kilipo anzishwa na kuwa mjumbe wa bodi mpaka alivyoteuliwa kuwa mbunge. Ni muandishi wa machaposh mengi kuhusu katiba pia.

Hiki ni kipimo cha Prof wa Tanzania. Prof. Kabuki. Mtu anayesaliti taaluma yake kwa madaraka na njaa. Prof. ni mtafiti anayeamini kuhusu matokeo ya utafiti. Sasa yeye alifanya utafiti kwa kukusanya maoni ya Wtz na kuhusika kuyaweka katika rasimu ya Katiba. Leo anayapinga/saliti.

Hawa wanaharakati wa katiba mpya, wengine wao ni zao la Kabudi na amewapika yeye mwenyewe. Kusaliti movement yako na kuanza kufanya "Spinning" kwa Apprentices wako ni laana tu. Historia itakuandika hatujui how.Lakin nakuasa ni heri unyamaze na itakuandika kama Kawawa . Viongozi wetu wa kisiasa wote wa Tawala na wa upinzani mjifunze kuogopa Karma, Ikipita na wewe watakaofedheheka ni familia yako na kizazi chako kwani tunawajua watanzania kuwa hawasahau na tumeshajionea wenyewe fedheha wanazopata wengineo. It is KARMA

Palamagamba Kabudi; msomi, mwalimu, mshiriki harakati za kutafuta katiba mpya (UDSM ukumbi wa Nkurumah), mjumbe wa tume ya katiba, akawa waziri wa katiba na sheria, Anatia kinyaa kusema katiba hii ni madhubuti.

Pichani akiwa porini kutafuta maoni ya wananchi na tume ya WARIOBA.

HATA WEWE LEO TUKIKUWEKA JIKONI NA SISI TUKAE SEBULENI KUSUBIRI MSOSI LAZIMA UTACHAKACHUA TU.

JIKONI JIKONI JIKONI ACHA WEWE .
 
Back
Top Bottom