kukumweupe
JF-Expert Member
- Apr 18, 2020
- 439
- 599
Nyerere huyuhuyu aliyeacha madeni na .hakuna sukari.maji.unga.nguo na n.kNyerere aliifanya Tanzania ijulikane duniani kwa mazuri si kwa kificha data za corona
Nyerere huyuhuyu aliyeacha madeni na .hakuna sukari.maji.unga.nguo na n.kNyerere aliifanya Tanzania ijulikane duniani kwa mazuri si kwa kificha data za corona
Rais Magufuli anaiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia
Wewe uliwahi kuleta bandiko liniKajifunze sarufi kwanza halafu urudi kupiga vigelegele.
Hicho ni kiswahili cha wapiNyerere huyuhuyu aliyeacha madeni na .hakuna sukari.maji.unga.nguo na n.k
Ndiyo ya msamvu.Trinidad ya msamvu
Kabisa mkuu jpm kaja kuinua taifa na kulifanya imara dinianiJanjajanja na hadaa iliyokuwa inafanywa na wapinzani sasa iko wazi, Watanzania waliowengi wameshang'amua kuwa upinzani wa nchi hii umejaa uhuni tu. Mtu anasema hivi leo kesho anabatilisha na mifano ipo. Mosi,kabla ya mwaka 2015 tuliaminishwa na wapinzani wa nchi hii hasa chadema kuwa Lowassa ndio nembo ya ufisadi Tanzania,Lowassa huyo huyo aligeuzwa kuwa msafi na hakuongelewa tena kuwa fisadi baada ya kuwa mgombea uraisi wao...
Ndio. Na unajua kwa nini aliaacha hivyo?Nyerere huyuhuyu aliyeacha madeni na .hakuna sukari.maji.unga.nguo na n.k
Ndio. Na unajua kwa nini aliaacha hivyo?
Amandla...
Uongo hautakufikisha mbali. Nchi gani hiyo unakojificha kujulikana kama mtanzania?Enzo hizo watanzania tulitembea vifua mbele nje ya nchi. Siku hizi watanzania tukiwa nje ya chi tunajificha. Tunaogopa kujulikana kuwa ni watanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo hautakufikisha mbali. Nchi gani hiyo unakojificha kujulikana kama mtanzania?
Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master's in Leadership and Management.
Unakojulikana kama muua ma albino. Unakoulizwa kwa nini mnaua bibi vizee vyenye macho nyekunduUongo hautakufikisha mbali. Nchi gani hiyo unakojificha kujulikana kama mtanzania?
Wanakojulikana matapeli waliopiga pesa ya ruzuku billion 8.9Unakojulikana kama muua ma albino.
Unakoulizwa kwa nini mnaua bibi vizee vyenye macho nyekundu
Unakohisiwa kuwa wewe ni punda wa wanaijeria
Unakoambiwa kuwa nchi yako ni ya tatu kutoka chini katika nchi ambazo wananchi wake hawana furaha
Amandla...
Magufuli is a country bumpkin.
The laughingstock of the world.
Of course he has heralded a new era of leadership by chicanery in Tanzania.
And that puts us on the map.
Nchi amabayo haina furaha. Kila raia nchi jirani anataka aje kuishi hapa Tanzania. Kama ni uhalifu uliosemani suala la mtu mmoja mmoja na serikli ya Tanzania inapambana nao.Unakojulikana kama muua ma albino.
Unakoulizwa kwa nini mnaua bibi vizee vyenye macho nyekundu
Unakohisiwa kuwa wewe ni punda wa wanaijeria
Unakoambiwa kuwa nchi yako ni ya tatu kutoka chini katika nchi ambazo wananchi wake hawana furaha
Amandla...
Ni nchi gani hiyo? Taja tu usiogope na kuanza kuzunguka mbuyu. Usilete umbowe wa ufipa hapa.Unakojulikana kama muua ma albino.
Unakoulizwa kwa nini mnaua bibi vizee vyenye macho nyekundu
Unakohisiwa kuwa wewe ni punda wa wanaijeria
Unakoambiwa kuwa nchi yako ni ya tatu kutoka chini katika nchi ambazo wananchi wake hawana furaha
Amandla...