Free ideas
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 3,508
- 2,060
Basi huwezi kuja na conclusion kwamba hakuna Mungu ilihali hujawahi kufanya utafiti wa uwepo wake. Hii inaonyesha wanaosema hakuna Mungu hawajawahi kujishughulisha kabisa na uwepo wake.
Hivyo naweza kuamini imani yao kwamba hakuna Mungu kwa maana hawajawahi kujihusisha nae kwa lolote..!
kila kilichopo kinaonekana, kiapimika, kinahisika,kinashikika n. k, lakini niambie huyo mungu we unafahamu vipi kwamba yup,
Hatuuoni upepo na umeme ila tunawez kuupima, je huyo Mungu kipimo chake ni kipi usiniambie kwamba ni katia vitabu vile dhaifu vya Koran and Bible
.... free ideas...