Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Habarini Wakuu!
Kwa nafasi za uteuzi chini ya Mhe. Rais, mteuliwa ni lazima utafutwe na kupewa taarifa mapema kabla ya uteuzi au unaweza kushtukizwa tu?
Je, wakikushtukizwa halafu baadae usipatikane hewani itakuwàje?
Je, wakikushtukiza halafu baadae ukawa hauitaki hiyo nafasi inakuwaje?
Kwa nafasi za uteuzi chini ya Mhe. Rais, mteuliwa ni lazima utafutwe na kupewa taarifa mapema kabla ya uteuzi au unaweza kushtukizwa tu?
Je, wakikushtukizwa halafu baadae usipatikane hewani itakuwàje?
Je, wakikushtukiza halafu baadae ukawa hauitaki hiyo nafasi inakuwaje?