Kumekuwa na Tabia kwa baadhi ya watu kudharau habari zinazopandishwa kwenye majukwaa ya JamiiForums.
Unakuta Habari imepostiwa kwenye jukwaa la Celebrities inamuhusu msanii eg. Harmonize, Diamond, Nandy n.k ila anatokea mtu from nowhere ana-reply "Tuondolee habari za kitoto" mwengine unakuta anasema "Jamiiforums siku hizi inawaachia watu wanaleta habari za kijinga" n.k
Ngoja nikuelekeze wewe Mshamba unaejifanya unajua kumbe huna unalolijua. Jamiiforum ni platform yenye majukwaa mengi na kila jukwaa lina maudhui (Contents) zinazoendana na hilo jukwaa.
Kama unahisi hupendi kuona Habari za mastaa au habari za michezo basi fanya ustaarabu wa ku-Ignore hayo majukwaa.
Asante.
Imeandikwa na Mjanja M1 ✍️
Unakuta Habari imepostiwa kwenye jukwaa la Celebrities inamuhusu msanii eg. Harmonize, Diamond, Nandy n.k ila anatokea mtu from nowhere ana-reply "Tuondolee habari za kitoto" mwengine unakuta anasema "Jamiiforums siku hizi inawaachia watu wanaleta habari za kijinga" n.k
Ngoja nikuelekeze wewe Mshamba unaejifanya unajua kumbe huna unalolijua. Jamiiforum ni platform yenye majukwaa mengi na kila jukwaa lina maudhui (Contents) zinazoendana na hilo jukwaa.
Kama unahisi hupendi kuona Habari za mastaa au habari za michezo basi fanya ustaarabu wa ku-Ignore hayo majukwaa.
Asante.
Imeandikwa na Mjanja M1 ✍️