Mish Albert
JF-Expert Member
- Dec 25, 2015
- 657
- 582
Sijui ndio maana nikaulizaHujui au!!
Sijui ndio maana nikaulizaHujui au!!
Na wewe acha kula nyama ovyo na kunywa pombe maana kansa na kisukari ni hatari zaidi kuliko ukimwi ,bila kusahau malaria na figoWatu hawasikii wala hawataki kuambiwa kuhusu hili gonjwa la UKIMWI
Kabla we msichana au mwanamke au we kijana au mwanaume hujafanya ngono bila kinga tafuta wodi za wagonjwa wa UKIMWI ukatembeleee huko kwanza then ukirudi uendelee kufanya ngono bila kinga
Nakusisitizia fanya kazi zaidi kuliko kuwaza ngono kama kicheche
Watanzania tuna safari ndefu ya kuelimika ,hamna ugonjwa unaitwa UkimwiNa hizi mvua na msimu wa baridi umeanza sidhan kama utaeleweka ila ukweli ndio huo au wapite nyumba inayouguza mgonjwa wa ukimwi
Hawajakaa na mtu ambae ameupata hatumii dawa au dawazimegoma wasingeuchukulia poa. Hau hawajaijua kero ya kumeza dawa kila siku lichomozapo jua hadi siku haulioni tena.SIKUHIZI UKIMWI WATU WANACHUKULIA KAMA MALARIA HAUTISHI TENA KAMA ZAMAN
Upungufu Wa Kinga Mwilini.Ukimwi ni nini?