Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,959
- 36,968
Nina hakika CCM itashinda chaguzi nyingi zijazo na kuendelea kuiongoza nchi hii ya Tanzania.
Sababu kubwa ni ujinga + upumbavu wa Watanzania wengi. Samahani najua nimewakwaza wengi kwa neno upumbavu na ujinga ila haya maneno hayana undugu na matusi.
Leo unatoa shukrani kwa Rais kisa amelipa mshahara wa walimu takribani miezi 2 bila kufundisha watoto. Hii sentensi ni kama kumpa mamlaka zaidi Rais juu ya fedha za nchi hii.
Shule binafsi baadhi zimeshindwa kulipa mishahara kwa walimu kwakuwa biashara ilisimama huku Serikali haieendeshi Shule zake kibiashara. Tena Shule za serikali zingekuwa hazijafungwa zingeifanya Serikali itumie fedha nyingi zaidi kuziendesha kwa hiyo miezi 2.
Pia ikumbukwe kuna nchi zililazimika kuwalipa hata walimu wa shule binafsi ili kuwatia moyo watu wa sekta binafsi.
Kwa katiba ya Tanzania ni kweli Rais anamamlaka hata ya kusimamisha au kuzuia mshahara wa mtumishi yoyote wakati wowote kwakuwa yeye ndiye chief treasure.
Tanzania viongozi sasa kazi yao ni kujikomba kwa Rais na si kuwatetea wanaowaongoza.
Hii hamjaanza leo but awamu ya tano imezidi. Miaka fulani nyuma mimi na wenzangu tulichaguliwa kuandaa Risala kwaajili ya mgeni rasmi kwenye ghafra fulani. Cha ajabu siku ya tukio Risala ilibadilishwa kwa 75% na boss kwa sababu za kujipendekeza na kutafuta cheo zaidi huku challenges tulizoziorodheshwa zikifutwa ilhali zipo mpaka leo.
Sababu kubwa ni ujinga + upumbavu wa Watanzania wengi. Samahani najua nimewakwaza wengi kwa neno upumbavu na ujinga ila haya maneno hayana undugu na matusi.
Leo unatoa shukrani kwa Rais kisa amelipa mshahara wa walimu takribani miezi 2 bila kufundisha watoto. Hii sentensi ni kama kumpa mamlaka zaidi Rais juu ya fedha za nchi hii.
Shule binafsi baadhi zimeshindwa kulipa mishahara kwa walimu kwakuwa biashara ilisimama huku Serikali haieendeshi Shule zake kibiashara. Tena Shule za serikali zingekuwa hazijafungwa zingeifanya Serikali itumie fedha nyingi zaidi kuziendesha kwa hiyo miezi 2.
Pia ikumbukwe kuna nchi zililazimika kuwalipa hata walimu wa shule binafsi ili kuwatia moyo watu wa sekta binafsi.
Kwa katiba ya Tanzania ni kweli Rais anamamlaka hata ya kusimamisha au kuzuia mshahara wa mtumishi yoyote wakati wowote kwakuwa yeye ndiye chief treasure.
Tanzania viongozi sasa kazi yao ni kujikomba kwa Rais na si kuwatetea wanaowaongoza.
Hii hamjaanza leo but awamu ya tano imezidi. Miaka fulani nyuma mimi na wenzangu tulichaguliwa kuandaa Risala kwaajili ya mgeni rasmi kwenye ghafra fulani. Cha ajabu siku ya tukio Risala ilibadilishwa kwa 75% na boss kwa sababu za kujipendekeza na kutafuta cheo zaidi huku challenges tulizoziorodheshwa zikifutwa ilhali zipo mpaka leo.