Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Nahisi kabila langu, dada zangu wameachika wote! na wanaume tumeacha wake zetu wote! Ukoo wa masingle huu
ha ha ha ha ha! Nacheka kwa huzuni.
Nahisi kabila langu, dada zangu wameachika wote! na wanaume tumeacha wake zetu wote! Ukoo wa masingle huu
ukiona nimenyamasa ujue nimekubali!
wachaga kiboko
ukiona nimenyamasa ujue nimekubali!
.....??