Black Sniper JF-Expert Member Dec 10, 2013 28,993 46,964 May 20, 2024 #4 Mninga mixer ni ipi mkuu Bei sio mbaya ila hiyo mixer ndio imenichanganya
B bitimkongwe JF-Expert Member Oct 21, 2009 7,558 7,108 May 20, 2024 #6 ila hiyo mistari stari siyo mninga huo, labda hiyo mixer yako. Most likely ni mtiki
The Eric JF-Expert Member Feb 23, 2019 5,242 8,559 May 21, 2024 #7 Mninga mixer ni nini???? Elezea umexiwa na nini????
Makorokoro Bondeni JF-Expert Member Apr 11, 2023 579 885 May 21, 2024 #8 Watu wanataka kujua hiyo mixer ndiyo nini?au mixer na mvule?
cocastic JF-Expert Member Nov 30, 2019 87,184 140,144 May 21, 2024 #10 Hata sio Mninga, acha kudanganya hapa. Afu wee kada wa mboga mboga, unauza kabati buku 7 hupewi?
B bitimkongwe JF-Expert Member Oct 21, 2009 7,558 7,108 May 21, 2024 #11 Acha Maneno said: Kama kitu haukijui ni bora ukakaa kimya. Heshimu biashara za watu. Click to expand... ninalo kabati la mninga, kitanda na dressing table za mvule na milango yangu yote ya mitiki. Narudia, huo wenye mistari hivyo siyo mninga. Sijavunja biashara ya mtu mimi.
Acha Maneno said: Kama kitu haukijui ni bora ukakaa kimya. Heshimu biashara za watu. Click to expand... ninalo kabati la mninga, kitanda na dressing table za mvule na milango yangu yote ya mitiki. Narudia, huo wenye mistari hivyo siyo mninga. Sijavunja biashara ya mtu mimi.