Habarin wandugu
Mimi nilikuwa na mpenzi wangu kipindi niko shule ila tuliachana baadae akaja kuwa na ukaribu ambao ulionekana kurudisha penzi letu.
Cha ajabu ni kuwa juzi kati kanitumia ujumbe kwenye simu akiomba nimsamehe kuwa hawezi kurudi kwangu ila ameamua kuwa na aliyekuwa classmate wetu sote.
Sikuumia ila nilichukia kwa sababu sikuona haja ya yeye kuwa na classmate wetu japo kuwa mimi nae hatukuwa tumerudiana fully.
Naombeni ushauri wenu nimchukulie vipi huyu binti au ni haki yke kufanya hivyo?
Mimi nilikuwa na mpenzi wangu kipindi niko shule ila tuliachana baadae akaja kuwa na ukaribu ambao ulionekana kurudisha penzi letu.
Cha ajabu ni kuwa juzi kati kanitumia ujumbe kwenye simu akiomba nimsamehe kuwa hawezi kurudi kwangu ila ameamua kuwa na aliyekuwa classmate wetu sote.
Sikuumia ila nilichukia kwa sababu sikuona haja ya yeye kuwa na classmate wetu japo kuwa mimi nae hatukuwa tumerudiana fully.
Naombeni ushauri wenu nimchukulie vipi huyu binti au ni haki yke kufanya hivyo?