makev
Member
- Mar 20, 2017
- 31
- 8
Habari wanajf naomba ushauri ninandugu yangu kapimwa akaambiwa anaugonjwa wa rheumatoid arthritis na kwa mjibu wa madactari niliowaulizia kuhusu huu ugonjwa wanasema huu ugonjwa hauna dawa ya kuponesha ila kutuliza tu hiyo hali , msaada tunamnusulu Vip huyu mtu mana saizi anamawazo Kweli. Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app