Una mambo ya kitoto, maswali yote uliyomuuliza hayakuhusu wewe siyo Mungu kuhukumu mtu kwa kile ulichotaka kujua kwa hiari yako mwenyewe. Unapotaka kuhoji maswali kama hayo lazima wewe ujipepeleze nafsini mwako umeshalala na wanawake wangapi, kwa sababu gani?
Mume au boyfriend marufuku kuniulize upuuzi wa hivyo ukitaka nikutajie (andaa notebook tatu). We si muoaji pia, utampotezea mwenzio step bure.
Kuna ukweli juu ya hilo, lakini akishaachana nao na akaituliza kwa wiki kadhaa, basi hali inarudi kikawaida wala haina shida!MKuu kuna mawazo kuwa mwanamke akiwa na mtu mmoja kwa muda mrefu K mileage haisomi sana kama akiwa na wanaume tofauti. Kwa hiyo inawezekana huyu bwana ana mawazo kama haya.
Mimi binafsi sina msimamo wowote katika hili.
Dah, wanawake kweli kazi wanayo...................Hapo hata kama milleage ni ndogo lakini engine na utamu utakua imetumika sana,inaweza zima anytime
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
KipipiAngalia tu siku usijemwagiwa ukweli alafu ukatamani kukimbia!
Unaonaje ukimuacha, ukatafuta mwenye bikira ya mbele ili mileage iwe 0.
Halafu ukikaa naye baada ya miaka 3, unamdiscard as mileage itakuwa 100 days * 2 baos* 3 years * 16km. Hapo hatujahesabu mabega ya mtoto yaliopita ktk hiyo k. Unatafuta kabikira kengine kenye zero milleage.
MKuu tofauti ni kuwa K ndiyo inayotafunwa hahahahaha.
Ha ha ha haaaaa mjasiria vp bhanaaa au we mwenzetu unapigaje hii mambo!!!!
K sio tu inatafuna inameza then inacheua hai-digest cylinders na ina lips kubwa na ndogo!!!
mwanamke bwana anatakiwa awe wa mtu mmoja tu. Lakni hawa watu wako kama magari sijui kiti cha basi? kila mtu anakalia halafu anashuka popote.serious task!
Dah, wanawake kweli kazi wanayo...................
Ukome kuchokonoa mambo ya nyuma, ulipoikuta wewe anzia hapo hapo na ujione uko peke yako, ukitafuta ya nyuma utajipa presha bure, una bahati hajakuambia Liyumba nae alipita hapo
Halafu aliyekuambia K ina milage ni nani? Kwenye K muumbaji alicheza kitu kinapigwa kikioshwa tu kinarudi natural, chezea K wewe.....
Kuna ukweli juu ya hilo, lakini akishaachana nao na akaituliza kwa wiki kadhaa, basi hali inarudi kikawaida wala haina shida!
Ukome kuchokonoa mambo ya nyuma, ulipoikuta wewe anzia hapo hapo na ujione uko peke yako, ukitafuta ya nyuma utajipa presha bure, una bahati hajakuambia Liyumba nae alipita hapo
Halafu aliyekuambia K ina milage ni nani? Kwenye K muumbaji alicheza kitu kinapigwa kikioshwa tu kinarudi natural, chezea K wewe.....
Kama ya wanaume tuu!
Haiishi hata isuguliwe vipi!
Ngoma drooooooooo!
Mzima lakini mpendwa?
Kipipi
Kwani nikikutongoza/kukutaka/kukupenda, si ninajua fika ushakuwa na mahusiano? Sasa kwa nini nishangae, sikufichi labda kitakachonikimbiza ni kuliwa tigo, hiyo sidhani kama nitakaa... teh!