Myahudi Jr II JF-Expert Member Joined Jan 7, 2016 Posts 7,004 Reaction score 9,263 Feb 19, 2016 #81 mliman city jamaa kaja vzr kama mgeni afu anapiga ngeli tupu anataka nimwelekeze mwanaume nadakia tu yes...ofcourse....no.. lugha ikanifanya nimwamini asee nilikuja kujua nimetapeliwa baadae taratibu nikaanza kujongea kituon kutafuta usafiri
mliman city jamaa kaja vzr kama mgeni afu anapiga ngeli tupu anataka nimwelekeze mwanaume nadakia tu yes...ofcourse....no.. lugha ikanifanya nimwamini asee nilikuja kujua nimetapeliwa baadae taratibu nikaanza kujongea kituon kutafuta usafiri
Madame S JF-Expert Member Joined Mar 4, 2015 Posts 17,190 Reaction score 34,526 Feb 19, 2016 #82 Raimundo said: Ongezeni na hizi za kudanganywa na mademu kuwatumia nauli halafu hawaji na namba zinabadilishwa. Click to expand... yaliwahi kukusibu eh me niliwah tapeliwa dar mwaka 2009 mara moja tu sikutapeliwa tena na siwaamini binadamu hata kidogo
Raimundo said: Ongezeni na hizi za kudanganywa na mademu kuwatumia nauli halafu hawaji na namba zinabadilishwa. Click to expand... yaliwahi kukusibu eh me niliwah tapeliwa dar mwaka 2009 mara moja tu sikutapeliwa tena na siwaamini binadamu hata kidogo