Mwizukulu wa Buganda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2024
- 638
- 1,771
Kuna huyu msanii anaitwa Magambo, akitumbuiza katika mkutano wa kampeni za CCM mbele ya Samia Suluhu, ameonekana akiwa kavaa suruali yenye muonekano kama ya Jeshi. Ni kosa kuvaa nguo zenye mfanano sawa na majeshi ya nchini na kuna kipindi fulani tulisumbuliwa sana, nikiwepo mimi chupuchupu kuvuliwa mbele za watu.
Natarajia jeshi hilo kutoa tamko la kukemea kitendo alichokifanya Magambo.
Sisi tumeona.
Pia soma
-
Natarajia jeshi hilo kutoa tamko la kukemea kitendo alichokifanya Magambo.
Sisi tumeona.
-