JWTZ waigomea SERIKALI...

JWTZ waigomea SERIKALI...

Siku Jeshi litakapoigeuka ccm ndiyo siku ukombozi utakapopatikana
 
Yani naona hawa makamanda wamechelewa tena kama serikali itakaidi naomba huyo BRIGEDIA JEN ajitangaze kuwa rais mara moja ana sapoti yetu wananchi na ya MUNGU.

nakuunga mkono mkuu manake serikali ya magamba ni DHAIFU
 
Yale yale ya Mbunge kufumaniwa Singida JF-Kata wanafuata mkumbo kama kawaida yao...hivi hunajua amri akitoa Amiri Jeshi kuna mtu wa kupinga?

kama huwa unafika singida nenda mwenyewe kajionee aqua hotel ipo pale njia panda ya kwenda tia chuoni mkabala na oilcom. Nilikuwa jana usiku hapo natukio nilakweli.
 
kushabikia mgomo wa madaktari ni ulimbukeni na uuwaji

Taratibu nimeanza kuelewa, kumbe wewe ni mbunge wa viti maalum! Hongera sana, ila sitegemee kupewa rufaa ya kwenda Apollo india kutumbuliwa jipu!
 
Back
Top Bottom