Mkuu, angalia vizuri hiyo picha. Makamu mwenyekiti wa CCM na mwambata wake (JWTZ) rangi ya mavazi inafanana na tunaambiwa jeshi halina chama cha siasa.
Mkuu, angalia vizuri hiyo picha. Makamu mwenyekiti wa CCM na mwambata wake (JWTZ) rangi ya mavazi inafanana na tunaambiwa jeshi halina chama cha siasa.
Ni hiyo ya kijani na ambayo inafanana na sare za Chama Cha Mapinduzi.
Mkuu, nielewavo mie Amiri jeshi mkuu ni Rais wa nchi haijalishi ni toka chama gani. Tatizo ni hiyo rangi ya sare kwa jeshi letu kama inauhusiano wa kisiasa na CCM.Majeshi yasingekuwa na chama amiri jeshi mkuu asingetokana na chama flani kushinda.
Ukiwa mjinga shida sana jamani.Ni hiyo ya kijani na ambayo inafanana na sare za Chama Cha Mapinduzi.
Humu ndani hoja nyingine ni hopeless kabisa.
Sasa na zile baleti nyekundu na og nyekundu nazo ukawa wakiwa madarakani mtasema sare za chama??na ffu nao mtasema ni ukawa cyo?
ni hiyo ya kijani na ambayo inafanana na sare za chama cha mapinduzi.
Mkuu, nielewavo mie Amiri jeshi mkuu ni Rais wa nchi haijalishi ni toka chama gani. Tatizo ni hiyo rangi ya sare kwa jeshi letu kama inauhusiano wa kisiasa na CCM.