JWTZ naFFU waingilia maandamano Mtwara

JWTZ naFFU waingilia maandamano Mtwara

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2009
Posts
3,930
Reaction score
4,937
Wakuu kuna taarifa kuwa japo mvua ni nyingi mno mtwara lakini kuna vurugu mno na jeshi pamoja na ffu wameingilia kutawanya waandamaji kwa mabomu.

Tujuzane waku walioko huko.
 
Waliopo Mtwara tunaomba mjaribu kupiga picha kila tukio. Picha ni muhimu katika kutangaza harakati zenu.
 
Hii nchi imefika pointi hakuna atakayekuwa anaogopa mabomu na majeshi tena...
 
How many will you kill and opress???

How long do you think their brothers and sisters will stand aside and watch???

Time ni mkweli zaidi, bado muda kidogo
 
mm najua kitakachotokea hapo, wenye family wawe macho coz watoto wao watateseka nalijua jwtz coz nimepitia huko huwa hatuna mchezo.uliza pemba
 
WanaMTWARA.. No retreat no surrender.
 
wameshindwa kulinda mipaka yetu wanakimbilia kupigana na wanao dai haki yao.huu ni upuuz kweli kweli
 
Kwani wakiwaacha waandamane kuna nini? Wameiba?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Ni matumizi mabaya ya DOLA na ni dalili ya kushindwa Utawala bora..................

Ngoja na me nichangie kidogo hapa! Hivi sheria ya nchi inasemaje kuhusu deployment ya jesh uraian kutuliza ghasia? Kwa upande wa FFU na polisi ni sawa but kutumia JWTZ (kama ni kwel) kutuliza maandamano ya amani ya kiraia ni kufail kwa utawala wa nchi. Watangaze STATE OF EMERGENCY tujue moja!

sishabikii maandamano wala uvunjifu wa amani wa aina yoyote ile, ila international organizations and political watchdogs should put this into considaration, ni juz tu mh. Rais alihutubia mabaloz na kuwaambia hakutakuwa na uvunjifu wa amani tena! Sasa majesh ya nin kupambana huko mtwara? Siamin kama majadiliano yameshindikana kupata suluhu ya kudumu.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
CNN,BBC,ABC NA ALJAZEERA ujumbe utaifikia ulimwengu tu

ukifikiria kwa akili ndogo tu ya ziada utatambua kuwa hao jamaa wakija ni hasara kwetu kuliko faida.wateja wakuu wa hiyo gesi si wamakonde wa mtwara, ni wawekezaji wengi wao kutoka nje ya mtwara na asikudanganye mtu hakuna mwekezaji atakayependa kuwekeza sehemu isiyomuhakikishia usalama wa mtaji wake na kumpa maamuzi ni wapi auze bidhaa yake au akaisindike wapi!!!
 
wakati wanapita k/koo kuzima maandamano ya waislamu mlishangilia sana leo wanazima maandamano ya wanamtwara wamekosa kazi ya kufanya??
Sasa kupita na kutawanya watu kwa kupiga na mabomu ni sawa...fikiria bana kabla ya kucomment
 
Back
Top Bottom