Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 617
JWTZ wanakutana na waandishi wa habari muda si mrefu na inatarajiwa kurushwa na TBC1.
JF will be represented.
============
UPDATES:
Jenerali Mwamunyange hakuweza kuitoa bali imetolewa na Mkuu wa Usalama Jeshini (Brig. Gen. Paul Meela) akiwa na maofisa kadhaa.
Anasema NI MAPEMA MNO kujua chanzo cha milipuko hii na si vema kubashiri.
Anasema "Hakuna Atakayejiuzulu, Jeshi si Nafasi za Kisiasa"
Attachment chini inaonyesha Report nzima kama ilivyosomwa.
Brig. Gen. Meela Mkuu wa Usalama na Utambuzi Jeshini
Meela akieleza kwa kutumia Power Point
Picha kwa msaada wa Google:
JF will be represented.
============
UPDATES:
Jenerali Mwamunyange hakuweza kuitoa bali imetolewa na Mkuu wa Usalama Jeshini (Brig. Gen. Paul Meela) akiwa na maofisa kadhaa.
Anasema NI MAPEMA MNO kujua chanzo cha milipuko hii na si vema kubashiri.
Anasema "Hakuna Atakayejiuzulu, Jeshi si Nafasi za Kisiasa"
Attachment chini inaonyesha Report nzima kama ilivyosomwa.
Brig. Gen. Meela Mkuu wa Usalama na Utambuzi Jeshini
Meela akieleza kwa kutumia Power Point
Picha kwa msaada wa Google: