Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,494
- 57,869
Jeshi la Wananchi mmeona yanayoendelea nchini?
Mmeona wananchi wanavyotekwa na kupotezwa? Mmeona kina Polepole? Soka? Mdude?
Mmeona Viongozi wanavyojinufaisha na Ufisadi? Mmemuona Mombo? Mmemuona Abdul na Mchengerwa? Mmuona Waziri Salum Katibu wa Rais? Mmemuona Mwana FA? Mmewaona watoto wa mshika hela za Samia Angela Kizigha?
Kwa yanayoendelea kazi kwenu!!
Ni ama msimame na Watanzania mlikomboe hili Taifa kutoka kwenye mikono ya Mafisadi na Wauaji au na nyie muwe makondoo na hii nchi iangamie.
Mmeona wananchi wanavyotekwa na kupotezwa? Mmeona kina Polepole? Soka? Mdude?
Mmeona Viongozi wanavyojinufaisha na Ufisadi? Mmemuona Mombo? Mmemuona Abdul na Mchengerwa? Mmuona Waziri Salum Katibu wa Rais? Mmemuona Mwana FA? Mmewaona watoto wa mshika hela za Samia Angela Kizigha?
Kwa yanayoendelea kazi kwenu!!
Ni ama msimame na Watanzania mlikomboe hili Taifa kutoka kwenye mikono ya Mafisadi na Wauaji au na nyie muwe makondoo na hii nchi iangamie.