JWTZ kulinda amani na usalama Uchaguzi Mkuu

Mh kwan hawa jamaa hawana mipaka ya kaz au kisa wanamilkiwa na chama tawala..alaf Jwtz likii ngia nishda kwasabab hawa jamaa wanatumia akili kidogo na nguvu nyng.


..
 
Mwanza kuna kambi kubwa za JWTZ...Ilemela na Nyegezi-Nyamagana...CDM tutachukua majimbo yote with the presence of Magesa RC and JWTZ..tena mapema kuliko 2010
 
Mh kwan hawa jamaa hawana mipaka ya kaz au kisa wanamilkiwa na chama tawala..alaf Jwtz likii ngia nishda kwasabab hawa jamaa wanatumia akili kidogo na nguvu nyng.


..

Teh teh teh teh!.
 
​kuna mpango mahsusi hapa umeshawekwa

Kabisa! Mpango huo ni kwamba hata wananchi wasipoichagua CCM, jeshi litachukua nchi na kuwakabidhi ccm kwa gharama yeyote. Yanayomtokea Maalim Seif kule Zanzibar ndiyo yatatokea bara mwaka huu.

CCM haipo tayari kuachia nchi na hao wanajeshi wameahidiwa vyeo kwa kazi watakayoifanya. Lakini yote katika yote siku zote Mungu yupo na Wanyonge na pia wapenda haki. Kila kitu kina mwisho. Hata Farao alikuwa kama CCM, lakini Mungu alimwinua Mungu akawakomboa wana wa Israel.
 
Mwanza kuna kambi kubwa za JWTZ...Ilemela na Nyegezi-Nyamagana...CDM tutachukua majimbo yote with the presence of Magesa RC and JWTZ..tena mapema kuliko 2010

Ndugu yangu tuombe Mungu tu awe upande wa upinzani. Mipango iliyopangwa ni kwamba kile kinamtokeaga Maalim Seif kule Zanzibar kila uchaguzi ndicho kitatokea mwaka huu bara. CCM imeshaona haina chake mwaka huu ndiyo maana inaingiza jeshi kwenye uchaguzi. Piga ua hata mpinzani atashinda, atatangazwa wa ccm chini ya mtutu wa bunduki. Haki hakuna kwenye hii nchi.
 
Katiba haiwaruhusu hao jamaa kufanya hiyo kazi. 2010 waliwatumia eti kwenye logistics i.e. kubeba maboksi yenye kura ndani yake, mfano, Jimbo la Ubungo - labda watatenda haki maanake Ubungo wapinzani walishinda lakini baada ya wananchi kibao kuamua kufa na bwana Kiravu pamoja na jeshi kuonekana eneo lile!!

Anachofanyia Seif Sharif kule Zanzibar ndicho kinahamia bara mwaka huu. CCM bila jeshi kule Zanzibar haishindi na mwaka huu huku bara bila jeshi ccm haishindi. Ndiyo maana wameandaa vikosi vya kuhujumu matokeo. Ukawa hata wakishinda atatangazwa wa CCM chini ya mtutu wa bunduki.
 
Kwa mujibu wa Radio free afrika,inayorusha matangazo yake kutoka mjini mwanza.kipindi cha matukio..asubuhi hii 01/02/2015.
Kikosi cha jeshi la wananchi kambi ya kiabakari wilayani butiama.

wakishirikianana na jeshi la polisi na magereza,wilyani humo.wanafanya mazoezi ya pamoja ikiwa na lengo la kujiandaa na uvunjifu wa amani unaoweza kujitokeza wakati wa uchaguzi mkuu hapo baadae mwakani.

Sasa hapo nimetafakari bila majibu,je serikali inamaanisha nini kwa kutumia jeshi kwa mambo ya usalama wa ndani ambalo si jukumu lao.bali polisi?

Je tunajiandaa kutangaziwa hali ya hatari nchini kabla ya uchaguzi?

Je mbona huko nyuma hatukuyaona haya katika chaguzi zilizopita?

Je ni dalili z serikali ya ccm kusoma alama za nyakati na kuingiwa na hofu kwa kugundua imekalia kuti kavu na hivyo kuanza kututisha raia?

Naomba kuwakilisha .......
 
Hakuna hoja ya kuogopa,kura tutapiga na wakithubutu kufanya uhuni basi yatakayotokea kwenye hii nchi wasije kuwalaumu wapinzani.Bora washinde kihalali!Kikinuka si jeshi wala polisi watakawaokoa hao watawala wakandamizaji na wanyonyaji.
 
Watanzania kwa sasa siyo wakutishwa na jeshi sanasana wataogopa wazee ambao ndio mtaji wa kura kwa ccm, vijana wote jitokezeni mjiandikishe kwa wingi mno na mkapige kura kwani ukombozi wa nchi hii unawtegemea sana vijana.
 
Matokeo ya uchaguzi yatatangazwa kwa ridhaa ya jeshi na atakayetangazwa jeshi litahahakikisha anatawazwa na kuzima chokochoko zote za wale watakaokataa matokeo.
 
Dhaifu atakuwa anajiandaa kuiachia geshi madaraka kama alivyotuambiaga wananchi
 
Kwa mujibu wa Radio free afrika,inayorusha matangazo yake kutoka mjini mwanza.kipindi cha matukio..asubuhi hii 01/02/2015.
Kikosi cha jeshi la wananchi kambi ya kiabakari wilayani butiama.wakishirikianana na jeshi la polisi na magereza,wilyani humo.wanafanya mazoezi ya pamoja ikiwa na lengo la kujiandaa na uvunjifu wa amani unaoweza kujitokeza wakati wa uchaguzi mkuu hapo baadae mwakani.
Sasa hapo nimetafakari bila majibu,je serikali inamaanisha nini kwa kutumia jeshi kwa mambo ya usalama wa ndani ambalo si jukumu lao.bali polisi?

Je tunajiandaa kutangaziwa hali ya hatari nchini kabla ya uchaguzi?

Je mbona huko nyuma hatukuyaona haya katika chaguzi zilizopita?

Je ni dalili z serikali ya ccm kusoma alama za nyakati na kuingiwa na hofu kwa kugundua imekalia kuti kavu na hivyo kuanza kututisha raia?

Mkuu ondoa wasiwasi. Wanajeshi waliokazini hawana lolote la maana wako makamanda wa nyerere na mwinyi waliostaafu na mwisho wale wa mboma. Hawa watatulinda raia wenzao na vita wanaijua vilivyo kuliko hawa watoto wa wakubwa wa jeshi legelege waliopunguziwa ugumu wa mafunzo kwa kigezo cha kuunda jeshi dogo lenye nguvu. Uhalisia ni jeshi kubwa dhaifu linalopigwa kila nchi waendayo huku wakificha ukweli. Congo msaada mkubwa ni Wa Africa Kusini na si vinginevyo. So mkuu tulia jeshi kakamavu liko mtaani. Nenda kitunda, bunju, morogoro utawakuta makamanda wastaafu wenye uwezo kivita na ndiyo watakaotusaidia kupambana na hawa legelege wakaa uraiani. Hata mkuu wao anakaa uraiani..!!! Sasa ndo nini kamanda kuacha wafuasi na kukaa kwetu sisi...!!!??? Kuwa na amani mkuu..!!!
 
Back
Top Bottom