BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,898
- 8,060
Time will tell
Ngoja pakuche mazee!
Ngoja pakuche mazee!
Mungu asaidieMwenye kusikia na asikie
Hapa hamna mboyoyo
Tegemea kuona jambo jipya mno, ambalo wote hamkutajia
View attachment 3495410
Huagizwa na CCM wafagie barabara na kufyeka majani siku za maandamano.Aliekuambia hawa wanaingia ingia barabaraziovyo ni nani.
Hakuna mboyoyo wala mbususu😂 TheSeerMwenye kusikia na asikie
Hapa hamna mboyoyo
Tegemea kuona jambo jipya mno, ambalo wote hamkutajia
View attachment 3495410
Wapo mbele ya muda, hawataki pawe na sehemu ya kuleta nywinywinywi zozoteWamezima YouTube. Kuna kitu wanaogopa?
Hawahawa wahuni kwa mjibu wa.mafweleMwenye kusikia na asikie
Hapa hamna mboyoyo
Tegemea kuona jambo jipya mno, ambalo wote hamkutajia
View attachment 3495410
Nilukuwaga nakuheshimu sanaMsitake watu wafe njaa kizembe kisa machafuko ya kisiasa. Kesho ni uchaguzi na wananchi watajitokeza kwa wingi kuchagua viongozi waliovutiwa na sera zao. Watapiga kura kwa amani na kurudi nyumbani kusikilizia matokeo ya mshindi wa kura
Amani, tutunze amaniNilukuwaga nakuheshimu sana
Hawa wanaotekwa na kunajisiwa na Mafwele? I don't think so.Mwenye kusikia na asikie
Hapa hamna mboyoyo
Tegemea kuona jambo jipya mno, ambalo wote hamkutajia
View attachment 3495410
Haina shida, tusichokitaka sisi watanzania ni hako kachiba kabaraka ka ulaya huko kuishikilia ofisi yetu kuu pendwa......hilo tu basi.Mwenye kusikia na asikie
Hapa hamna mboyoyo
Tegemea kuona jambo jipya mno, ambalo wote hamkutajia
View attachment 3495410
Hawa na Mgambo huwa wanaweza kupiga raia tu.Mwenye kusikia na asikie
Hapa hamna mboyoyo
Tegemea kuona jambo jipya mno, ambalo wote hamkutajia
View attachment 3495410
Ujitambue kuanzia leo kuwa wewe ni kichaaMwenye kusikia na asikie
Hapa hamna mboyoyo
Tegemea kuona jambo jipya mno, ambalo wote hamkutajia
View attachment 3495410