Juventus Special Thread

Mimi nahisi Ronaldo ndie atafutiwe namba nyengine, Mana dogo yupo juu kiuwezo kuliko Ronaldo. CR7 Kazi yake kuvizia anasubiri Penalty pamoja na lose ball za kutemwa na kipa.
Duuuh!!!!!kwani ukimpenda messi lazima umchukie ronaldo???
 
Sasa kumbe umeufahamu uwezo halisia wa Ronaldo.

Kucheza timu bora duniani na kua weye ndie forward wao tegemeo utang'ara tu. Sisemi Ronaldo ni mbovu ila ninachopinga huo ubora munaompa. Real Madrid imemsaidia sana, bila ya Real asingeweza kabisa kufunga magoli 50 kwa msimu popote pale.
Dyabala na Costa Wana uwezo mbele ya Ronaldo, Ila tatizo linalowasumbua madogo majina maDogo bado hayajavuma vizuri.
Juventus wakaindelea kuwaweka Bench hao watu wawili Wataishia kuumbuka.
Tatizo Ronaldo ili aweze kung'ara Lazima atengenezewe mfumo maalum, Kama ilivokua Real au Man utd. Sasa madogo wao hawahitaji mfumo wao vovote wao wanakiwasha tu.
Sasa mpaka sasa hivi Kocha yupo buzy kumtengenezea mfumo Ronaldo ili apate kung'ara ndomana kule mbele kote unaona wanabadilishwa tu kila siku wanatafutwa watakaowza kufit nae.
Hivi kuna kocha gani duniani asio angalia mfumo upi mzuri utakae mpatia ushindi,na hakuna mfumo unaopangwa bila kuangalia una kikosi gani,sasa wewe unaona ni kosa kwa kocha kupanga mfumo utake muwezesha CR7 kufunga maana siku ya mwisho tunataka magoli,CR7 ni mchezaji mzuri na anajituma sana so msiwe na majungu na kunyosha vidole, kwanza CR7 ndiye mchezaji anaependa changamoto, challenge na ameshacheza vilabu mbalimbali kuliko huyo mess,angekua anaangalia mifumo ili awe bora basi angebaki time alizotoka zilizompa uchezaji bora
 
nje ya mdarid jamaa watam treat kama walivyo wachezaji wengine no special treatment anymore
Yani kile ki_linesman cha nyuma ya goli hivi uliona wakati anaulizwa incidence iliyotokea na referee kilvyo kua kinaongeaaa yani unsjua tu pale kalitia chumvi ya unoko na hatimae kadi nyekundu ikatoka...nilikua so disappointed and tears
 
Paulo Dyabala...
Ronaldo...
juventus___BpSnGnKB-hD___.jpg
 
Juventus mmeiharibu ligi ya Italia haina mvuto tena imekuwa kama ligue 1 tu mshindi amejulikana mapema tayari..... Ssa best players wa Serie A wote mmesajili nyie aah ligi haina maana tena

RIP Serie A... RIP azzuri maana ligi mbovu hupelekea National Team mbovu
 
Juventus mmeiharibu ligi ya Italia haina mvuto tena imekuwa kama ligue 1 tu mshindi amejulikana mapema tayari..... Ssa best players wa Serie A wote mmesajili nyie aah ligi haina maana tena

RIP Serie A... RIP azzuri maana ligi mbovu hupelekea National Team mbovu
Vipi mkuu! Kuna matumaini ya Juventus kung'ara kwenye UEFA msimu huu?
 
Juventus mmeiharibu ligi ya Italia haina mvuto tena imekuwa kama ligue 1 tu mshindi amejulikana mapema tayari..... Ssa best players wa Serie A wote mmesajili nyie aah ligi haina maana tena

RIP Serie A... RIP azzuri maana ligi mbovu hupelekea National Team mbovu
Mkuu ulitaka Juve tutumie pesa mingi sana kwa kununua wachezaji Wabovu? Timu yetu inauwezo tu na sio imeharibu ligi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom