Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Bwanä yule hana hata goli 1 maajabu
Bwanä yule hana hata goli 1 maajabu
Ameendà kutafuta changamoto mpya na ameìpataYupo yupo kama sanamu tu pale..game ya pili sijaona anachokifanya..
Leo asipofunga tena Ronaldo basi mjue kashakua kimeo tayari
E&K
Natangaza rasmi kuanza kuifuatilia Juventus.
Sio kwasababu ya Ronaldo,nimeamua tu!
Ameendà kutafuta changamoto mpya na ameìpata
Mpaka sasa hivi king ni Pele tu kwani kuna mwingineHana lolote jamaa yako,alafu mnalazimisha awe king kwa lipi!!
Chief.Jamaa yenu ameenda kuuza sura tu, hana jipya..anazungukazunguka all the time
Wewe haujaona alichokifanya.Yupo yupo kama sanamu tu pale..game ya pili sijaona anachokifanya..
Leo asipofunga tena Ronaldo basi mjue kashakua kimeo tayari
E&K
Juve 95/96
1. Angelo Peruzzi
2. Ciro Ferara
3. Moreno Toricelli
4. Massimo Carera
5. Sergio Porrini
6. Angelo DiLivio
7. Paolo Souza
8. Antonio Conte
9. Vialli
10. Del Piero
11. Fabrizio Ravanelli
Coach: Mercello Lippi
Wewe haujaona alichokifanya.
Wewe.
Lakini huyo huyo ambaye wewe haujaona alichokifanya ndio man of the match wa game ya jana.
Kabisa mkuu!Umetukumbusha mbali mkuu. Hua mziki si wakitoto
Kabisa mkuu!
Ajax Amsterdam alivuliwa ubingwa wa UCL na hawa jamaa
Sidhani kama hili ni jambo la imani.Kazi inakuja Pale ayo uliyoyaandika Kuwa weye mwenyewe binafsi unayaamini!
sawaKwa SS Juventus ni moja ya club yenye kikosi Bora ulaya na naitabiria mema kuanzia Serie A mpaka UCL mziki wake utakua si wa kitoto na kuhusu Cr7 bado ni mchezaji mzuri tu na Juve walikua sahihi kumchukua kama huipendi Juve utapata tabu sana msimu huu