Juventus ni wazuri sana kwenye mechi za home and away. Usishangae kuona madrid ikawa ndio mwisho wakePoleni sana,maana hao Madrid wana njaa hatari
Upo real Madrid..?Safi sana, Barca nawasubiri kwa hamu kubwa. Ntawanyoa na kisu.
Jukwaa lolote unaingia tu,Hii ni burudani tu Mkuu..Hapana, nimechanganya jukwaa nilifikiri la real.