Just stay away from me girl

Just stay away from me girl

yah ni kweli ila ni vizuri kujua pia sheet happen in life na usimuhukumu sana u never know.... namwonea huruma sijui kwa nini?

Oh sorry jaman my best. But it wasn't my plan 2 live without her, it's how it is. U kno wat am sayin?.
 
Usijar my best Rene. mimi baba yangu mnyamwezi, mama yangu ni muha. Nimezaliwa jiji kubwa(Dar)mchana kweupe so upuuzi km huu siwez kuufumbia macho cause licha ya kuzaliwa jiji la wajanja. Lkn pia nshavuka boda kubwa na kujifunza mengi. Sitishiwi nyau ata siku 1 na kinyang'unya!

Aise!!!!
 
Bora mie niliyeamua kupiga puchu tu mpaka hapo mambo yangu yatakapo kaa sawa ndipo nimtafute wa ukweli maana mademu wa leo ni ugonjwa wa moyo!
 
Bora mie niliyeamua kupiga puchu tu mpaka hapo mambo yangu yatakapo kaa sawa ndipo nimtafute wa ukweli maana mademu wa leo ni ugonjwa wa moyo!

Sikulitambua hilo mapema mwamba wangu, afu cha kushangaza nasalitiwa na m2 nliemtatua mwenyew nyuzi!
 
Una moyo mzur ndugu yangu if i was me angepata shida hata kunywa sumu asinge tamani maneno yangu tu yangekua sumu tosha kabisa
 
Rest in peace Mrembo, if you'll be back on this beautiful planet make sure you keep your promise to your loved ones.
 
Una moyo mzur ndugu yangu if i was me angepata shida hata kunywa sumu asinge tamani maneno yangu tu yangekua sumu tosha kabisa

Kweli mwamba wangu, yan roho yangu nzuri ndio imekuwa kigezo cha yy kuntishia nyau namna hii!
 
Rest in peace Mrembo, if you'll be back on this beautiful planet make sure you keep your promise to your loved ones.

Nafikir ushaur wako utamkuta huko aliko!
 
Back
Top Bottom