- Thread starter
- #21
ndo maajabu ya baadh ya akina dada hayo. Huwa wajichanganya tu then wanakuja kujutia milele. Btw nadhan hajajiua ameamua awe mpole aone next move utakayofanya. Ukikaa kimya inawezekana akakutafuta tena so jiandae kwa hlo.
Akintafuta kiurafiki tutakuwa pa1, ila kimapenzi hatonipata na ndio itakuwa 7bu ya kumpotezea kabisa!