Mkuu sasa hivi bado sana muda wa kampeniNimepita hapa Shangarai nikaona mkutano wa kampeni wa CCM ukiwa na wasikilizaji wasiozidi (eight to be exact).
Wako na magari yao tu
Wewe unaongea kwa hisia wakati mtu yupo eneo la tukio!uongo mwingine ni kujipa moyo tu,watu wanane unawajua wewe?,ccm wakose hata balozi mmoja na familia yake? mambo mengine nikujipamoyo pasipostahili wanaweza kukosa watu lakini si kihivyo bora ungesema eighty
Basi tuseme wapo eightyuongo mwingine ni kujipa moyo tu,watu wanane unawajua wewe?,ccm wakose hata balozi mmoja na familia yake? mambo mengine nikujipamoyo pasipostahili wanaweza kukosa watu lakini si kihivyo bora ungesema eighty
Wewe unaongea kwa hisia wakati mtu yupo eneo la tukio!