Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Barubaru
Zanzibar ina uwakilishi katika Bunge la Jamhuri ya Muungano. Kwa nini Wabunge wa CCM na CUF waselete Hoja ya Kuuvunja Muungano katika Bunge la Jamhuri ya Muungano IJADILIWE kama BLW haliwezi kujadili Muungano?
Mkuu Unkijibu hapo tutaendelea na Mjadala vizuri na si Porojo za Jussa
Zanzibar ina uwakilishi katika Bunge la Jamhuri ya Muungano. Kwa nini Wabunge wa CCM na CUF waselete Hoja ya Kuuvunja Muungano katika Bunge la Jamhuri ya Muungano IJADILIWE kama BLW haliwezi kujadili Muungano?
Mkuu Unkijibu hapo tutaendelea na Mjadala vizuri na si Porojo za Jussa
Last edited by a moderator: