kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Kuna uamsho Ponda mkuuKwa mbaaaaaaaaaaaali,naiona Tanganyika Yetu,isiyokuwa na Matatizo ya Uamsho nk,Hongera nenda kadai pemba yenu wawape hao wazanzibara!
Kuna uamsho Ponda mkuuKwa mbaaaaaaaaaaaali,naiona Tanganyika Yetu,isiyokuwa na Matatizo ya Uamsho nk,Hongera nenda kadai pemba yenu wawape hao wazanzibara!
Mweka hazinahivi anacheo gani kwenye kile kikundi cha kigaidi kinachochoma makanisa na bar za wabara..
hakuna mkoa wenye Rais wake, bendera yake, baraza na bunge lake Zanzibar ni nchi kamili ni Wanyonyaji wakuu kumbuka wao wanahudumiwa na serikali mbili tofauti bali sisi tunayo moja tu nayo ya ... na mzigo mkubwa kuiendeshawacheni maneno nyie..hakuna kitu kama hicho..nyie mtaendelea kua mkoa kama mikoa mingine ya tanzania...
KWA NINI OCTOBER 10 Sio IMMEDIATELY ???? MBAGUZI HUYOO...
Nendeni tu hata sisi tumewachoka
hizi ni chuki za kipumbavu na ujinga wa watanganyikaMkimaliza kutengana na Tanganyika, mtaanza kuulizana hivi wewe Jusa ni wa wapi? Mtagundua ni Mhindi flani then mtamtimua kama mbwa. Halafu mtamuuliza nawe Karume ni wa wapi? Mtagundua ana asili ya Kigoma Ujiji, mtataka naye akupisheni. Mwisho wa yote mtajikuta wote hamna asili ya Unguja wala Pemba, kumbe wengine asili yao ni Komoro, Tumbatu, Ngazija, Moroni, Mayote, Mafia, na Tanga (Tanganyika). Fanyeni fasta mtupishe, nasi Watanganyika tutawataka wanaojiita wazenji walioko huku wachague moja kati ya kurudi Zenji au kuchukua uraia wa huku.
Kaaaaaaaaaaaaaaama Boko - Halal vile au Al-Shadaaaaad!Naipenda sana hiyo bendera ya Tanganyika.Nchi ya Zanzibar ni yetu sisi Watanganyika ila baadhi ya watu aina ya Jusa si wetu hao wana kwao ndiyo maana wanajaribu kuleta uamsho ndani ya nchi hii takatifu ya Tanganyika(Zanzibar inclusive)
Swala la kutengana na haliko wakitaka watuachie nchi yetu Zanzibar na wao waende kwao oman na Pakstani au Afganistani watu wabaya sana hawa.
Jussa Ndio Nani?
hivi anacheo gani kwenye kile kikundi cha kigaidi kinachochoma makanisa na bar za wabara..
Wakimaliza watamuita JAMSHID kwenye kiti chake!
You quote the whole thread just for two words sentence reply?