The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,458
- 17,253
June 10 bodi ya wakurugenzi wa shirka la fedha Duniani na Bank ya Dunia kuamua iwapo tunastahili kupewa msamaha na mkopo kupambana na corona au laa.
Mwezi April IMF na WB walitengeneza kitu kinaitwa Catastrophe Containment and Relief Trust ili kusaidia nchi masikini kupambana na madhara ya corona.
Kwenye hiyo relief programme nchi masikini zitasamehewa kulipa madeni yake hadi miaka 2.
Tanzania tumeomba tusamehewe chini ya hiyo relief programme ili tupate pesa ya kutusaidia kupata vifaa tiba vya kupambana na corona.
Kwenye barua yake ya kuomba serikali imesema imeshindwa kufanya vipimo na kufuatilia muenendo wa corona kwa sababu ya ukosefu wa pesa.
IMF imesema June 10, 2020 bodi itaamua kama tunakidhi vigezo kusamehewa au lah.
Soma barua ya IMF kwa serikali.
Mwezi April IMF na WB walitengeneza kitu kinaitwa Catastrophe Containment and Relief Trust ili kusaidia nchi masikini kupambana na madhara ya corona.
Kwenye hiyo relief programme nchi masikini zitasamehewa kulipa madeni yake hadi miaka 2.
Tanzania tumeomba tusamehewe chini ya hiyo relief programme ili tupate pesa ya kutusaidia kupata vifaa tiba vya kupambana na corona.
Kwenye barua yake ya kuomba serikali imesema imeshindwa kufanya vipimo na kufuatilia muenendo wa corona kwa sababu ya ukosefu wa pesa.
IMF imesema June 10, 2020 bodi itaamua kama tunakidhi vigezo kusamehewa au lah.
Soma barua ya IMF kwa serikali.