Jumong...

Jumong...

Hivi humu ndani kuna watu wanao tazama jumong?

Ni tamthilia nzuri mno ya kikorea, na inahusu siasa zaidi kuliko kingine. Natamani wana jf wote wawe wanatama jumong, ina fundisha vitu vingi sana, kama ujenzi wa taifa nk,

Haiji tokea tamthilia kama Jumong,
Sijapata kuona tamthilia yenye Uhalisia kama ile.
Wameipanga vizuri hadi unabaki mdomo wazi tu!
 
Nimempenda sana Ye Soya! Ameonesha uaminifu sana kwa Mumewe Chumong,kama mnakumbuka Chumong alimkatia kipande cha sword na kumuachia na yeye akabaki na kingine kama alama ya mtoto wake Yuri atapokuwa mkubwa.Uaminifu wa aina hii jamani inavutia sana yaani miaka kumi na tano Ye Soya bado anamkumbuka Mumewe siyo mchezo!
Nimempenda sana Ye Soya kwa kweli,ame act vizuri sana eneo lake na vilevile ana mvuto! Hahahaha!!

Tamthilia nzima hakuna mtu kama yule Waziri Mkuu.
Yule ni balaaa sana sijapata kuona
 
Back
Top Bottom