polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,362
- 5,809
hii ni moja ya kampini iliyo funga biashara zake tanzania mapema kabisa baada ya beana yule kushika madaraka
tafadhari kama mawakala mpo huku tunaomba shaurianeni mturejeshee huduma zenu kwa sababu kuna baadhi ya bidhaa tulizipata kwenu wakati sehemu zingine hazipo
tafadhari kama mawakala mpo huku tunaomba shaurianeni mturejeshee huduma zenu kwa sababu kuna baadhi ya bidhaa tulizipata kwenu wakati sehemu zingine hazipo