Jumba la IKULU lina nini? Mbona kila Rais akiingia anawasahau Watanzania?

Kabla ya kuingia Ikulu unakuwa na akili yako mwenyewe, ukiingia unakutana na akili za kuambiwa. Kwa hiyo unatumia akili za kuambiwa na mawaziri, marafiki, mabepari, mabeberu, mafisadi n.k ukilala tu unashindwa kuchanganya na za kwako.
 
Ukiondoa Baba wa taifa ambaye aliondoka IKULU akiwa ajaiba hata sent ya umma wala kuwaumiza Watanzania kwa maslahi yake

Pia Rais Mwinyi amabaye alifanya mambo makubwa kujenga uchumi wa nchi.

Mkapa aliingia kama Rais mzalendo sana na aliyeaminika lakini alikuja kusababisha ufisadi mkubwa kwenye serikali yake.

Kikwete vile vile ufisadi

Magufuli naye baada ya kuingia IKULU aliwageuka mpaka wale waliomuwezesha kwenda Ikulu.

Sasa naona kabisa Samia ameshatugeuka kabisa alituambia hapendi kodi za dhuruma lakini angalia ndani ya miezi 3 tu kashasaliti kauli yake .

Haya makodi aliyakataa kwa maneno yake ila ndio anayatekeleza ndani ya miezi 3 tu.

Najiuliza IKULU yetu ina nini Toka mwaka 1995 Marais wote uwa wanasahau watanzania wakishaingia kwenye ilo jumba.View attachment 1870637View attachment 1870643
Mwalimu Nyerere ndiye rais aliyewapenda sana watanzania tutamukumbuka daima wengine tunamuachia mungu tu
 
Bibi yako kijijini akipata pembejeo akalima mazao yake atayapitisha wap kuyapeleka sokoni???

Vipi bibi yako kijijini akiiumwa akahitaji hudumaa ya haraka kuhammiishiwa hospital kubwa??

Anyway hii nchi ina matatizo makubwa sana
Nitajie sehemu ambayo mazao yameshindwa kufika sokoni kwa sababu hakuna barabara ya lami?

Nitajie sehemu ambayo watu wameshindwa kupelekwa hosp kwa sababu hakuna barabara za lami?

Sikia mzee tuna mambo mengi wananchi wanaitaji si barabara za lami KM 1 ya lami ni 1.5 Bilion je hapo tunapata visima vingapi ? na zahanati Ngapi?
 
Bibi yangu kijijini anaitaji Maji safi ,huduma nzuri za Afya ,bei ndogo ktk pembejeo za kilimo

Bibi yangu kijijini haitaji barabara za lami coz hazimsaidii chochote
Zitamsaidia kusafirisha mazao kwa haraka akishapata pembejeo, zitasaidia wengine wawahi hospitali, zitasaidia huduma kufika kwa haraka ...
 
Bibi yangu kijijini anaitaji Maji safi ,huduma nzuri za Afya ,bei ndogo ktk pembejeo za kilimo

Bibi yangu kijijini haitaji barabara za lami coz hazimsaidii chochote
Sawa. Lakini analipa kodi inayojenga hayo madaraja na barabara za lami. Akinunua sukari, sabuni, mafuta ya kula nk analipa kodi!

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom