Jumatatu ni sikuku au....?

Jumatatu ni sikuku au....?

masanzakona

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2014
Posts
228
Reaction score
121
Wakuu, nahitaji kwenda kijiji kuona mashamba yangu, je jumatatu ni sikukuu ya maulid au?
Nijuzeni tafadhali
 
press release.jpg
 
Ni jumanne. J3 usiku saa sita ndio maulid yanaanza
 
Mkuu subiri mpaka uone mwezi ndio ujue maana unaweza kosa vyote kibarua na siku kuu pia.
 
Maulid (kuzaliwa kwa mtume )
huwa inaadhimishwa kila January 14?naomba kujuzwa wakuu!
 
Maulid (kuzaliwa kwa mtume )
huwa inaadhimishwa kila January 14?naomba kujuzwa wakuu!

Siyo tarehe 14 mkuu, haitumiki Gregorian calender, inatumika Islamic, ambayo nadhani ni mwezi huu MFUNGO SITA.Haiwezi kuwa constant tarehe14 au Constant January, kwa kuwa Kiislam mwezi muandamo una siku 29 na 30 pekee! Hauna siku 28 au 31. Ndo maana katika mzunguko wa mwaka wa kawaida, kuna UPUNGUFU WA SIKU11 kati ya mwaka wa Kiislam na mwaka wa Gregorian Calender. Na hii inatokana na uwepo wa siku29 na 30, wakati kule kuna siku28, 29, 30 na 31. Hivyo kwa tofauti hiyo ya siku11, baada ya miaka33, yaani33*11=363, ambapo tunasema baada ya miaka33 kunakuawa na angalau mwaka mmoja nyuma!
 
Siyo tarehe 14 mkuu, haitumiki Gregorian calender, inatumika Islamic, ambayo nadhani ni mwezi huu MFUNGO SITA.Haiwezi kuwa constant tarehe14 au Constant January, kwa kuwa Kiislam mwezi muandamo una siku 29 na 30 pekee! Hauna siku 28 au 31. Ndo maana katika mzunguko wa mwaka wa kawaida, kuna UPUNGUFU WA SIKU11 kati ya mwaka wa Kiislam na mwaka wa Gregorian Calender. Na hii inatokana na uwepo wa siku29 na 30, wakati kule kuna siku28, 29, 30 na 31. Hivyo kwa tofauti hiyo ya siku11, baada ya miaka33, yaani33*11=363, ambapo tunasema baada ya miaka33 kunakuawa na angalau mwaka mmoja nyuma!

mkuu CHAZA nashukuru sna kwa kunielimisha,ila nimeona hiyo press release toka Bakwata wametumia Gregorian Calender.i.e tar,mwezi na mwaka!
 
ni kwasababu umezoea kudanganywa.ukweli hutoufurahia.

Hii ni kebehi na dharau kwa imani za wenzio ambao wanamuamin mungu ambaye wewe pia unamuamin. Ni vizur ukajirekebisha kitabia kwa kutambua kuwa Mungu hataki usela nondo kama huo wako unaouleta hapa kama hujui kitu fulan haswa juu ya iman ya Mungu ni bora ukakaa kimya hiyo itakuwa ni baraka kwako toka kwa muumba wako
 
Sikukuu ya maulid itakuwa usiku wa jumatatu kuamkia jumanne mkuu. Kwa hiyo jumanne ndo siku ya mapumziko
 
Sikukuu ya maulid itakuwa usiku wa jumatatu kuamkia jumanne mkuu. Kwa hiyo jumanne ndo siku ya mapumziko

Mkuu MZAWATA huwa ni kwann husheherekewa usiku na sio mchana kama sikukuu nyingine za Kiislam?(mfano Idd)
 
mkuu CHAZA nashukuru sna kwa kunielimisha,ila nimeona hiyo press release toka Bakwata wametumia Gregorian Calender.i.e tar,mwezi na mwaka!

wamconvert tarehe tu kiongozi ....
 
Back
Top Bottom