Ernest Malale
Member
- Aug 29, 2013
- 51
- 3
wakuu, nahitaji kwenda kijiji kuona mashamba yangu, je jumatatu ni sikukuu ya maulid au?
Nijuzeni tafadhali
j.nne ndo hyo maulid day kesho kazi kama kawaida
wakuu, nahitaji kwenda kijiji kuona mashamba yangu, je jumatatu ni sikukuu ya maulid au?
Nijuzeni tafadhali
watoto wa get kari wanapata hakiyao ni kama kwenyemikesha ya PASAKA na X-MAS
Mkuu MZAWATA huwa ni kwann husheherekewa usiku na sio mchana kama sikukuu nyingine za Kiislam?(mfano Idd)
Hii ni kebehi na dharau kwa imani za wenzio ambao wanamuamin mungu ambaye wewe pia unamuamin. Ni vizur ukajirekebisha kitabia kwa kutambua kuwa Mungu hataki usela nondo kama huo wako unaouleta hapa kama hujui kitu fulan haswa juu ya iman ya Mungu ni bora ukakaa kimya hiyo itakuwa ni baraka kwako toka kwa muumba wako
Allah hapendi mwanga.
Hii ni kebehi na dharau kwa imani za wenzio ambao wanamuamin mungu ambaye wewe pia unamuamin. Ni vizur ukajirekebisha kitabia kwa kutambua kuwa Mungu hataki usela nondo kama huo wako unaouleta hapa kama hujui kitu fulan haswa juu ya iman ya Mungu ni bora ukakaa kimya hiyo itakuwa ni baraka kwako toka kwa muumba wako
j.nne ndo hyo maulid day kesho kazi kama kawaida